Wakuu wa nchi kujadili ebola
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban –Kin moon leo anafungua mkutano mkubwa na viongozi wa nchi mbalimbali duniani kuhusu ugonjwa wa ebola, mkutano unaolenga kutafuta suluhu ya pamoja ya jinsi ya kukabiliana na ugonjwa huo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
10 years ago
Habarileo19 Nov
Wakuu wa mikoa kujadili ajira nchini
KONGAMANO la wakuu wa mikoa kuhusu ajira linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili mkoani hapa kuanzia leo likishirikisha watu zaidi ya 200, imefahamika.
10 years ago
Dewji Blog09 May
Rais aitisha kikao cha wakuu wa EAC kujadili Burundi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ameitisha mkutano wa wakuu wenzake wa nchi hizo tano wa EAC, Jumatano ijayo, Mei 13, 2015, kujadili hali ilivyo katika Burundi, kwa kadri nchi hiyo inavyojiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Juni 26, mwaka huu.
Rais Kikwete ametangaza habari ya kuitisha mkutano huo wakati alipozungumza na waandishi wa habari katika Makao...
10 years ago
GPLVIONGOZI WAKUU EAC KUJADILI MGOGORO WA BURUNDI DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ndavXo5s-c4/XslozA4ZT3I/AAAAAAALrZE/3BBPTzDrLgEL9neHTexyMFnokfdhisjCwCLcBGAsYHQ/s72-c/1d9640d1-7112-4acf-8524-015a39cd884c.jpg)
SERIKALI YAWAKUTANISHA WAKUU WA VYUO KUJADILI NAMNA YA KUMALIZA MITAALA
Akifungua kikao hicho Katibu Mkuu wa Wizara Ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo amesema pamoja na mambo mengine watakubaliana namna bora ya kuhakikisha vyuo vinafidia muda wa masomo uliopotea na kukamilisha mihula bila kuathiri...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
BBCSwahili29 May
Nchi 17 kujadili tatizo la wahamiaji
11 years ago
Habarileo06 Aug
Mawaziri SADC kujadili Ebola
MAWAZIRI wa Afya na wadau wengine wa afya wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi zilizo Kusini mwa Afrika (SADC), leo wanakutana kwenye mkutano wa dharura kuzungumzia hatua za kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Wataalam wa afya kujadili Ebola