Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walcott na Sterling kubadilishana timu

Liverpool na Arsenal zinapanga makubaliano ambayo yatazifanya timu hizo mbili kubadilishana wachezaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Walcott kusalia Arsenal

Meneja wa kilabu ya Arsenal Arsene Wenger ana imani kwamba Theo Walcot ataweka mkataba mpya na kilabu hiyo ya Ligi ya Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapata pigo kuumia kwa Walcott

Mshambuliaji wa Arsenal Theo Walcott kukosa mechi zijazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Walcott:sisi bora kuliko kina Henry

Winga klabu ya Arsenal Theo Walcott,ameeleza safu yao ushambuliaji ya sasa ni bora Zaidi kuliko ya mwaka 2006.

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli akemewa kwa kubadilishana jezi

Mkufunzi wa Liverpool amemkumbusha Mario Baloteli kuhusu utamaduni wa soka ya Uingereza na ule wa Liverpool.

 

9 years ago

Bongo5

Arsene Wenger adai Walcott ndiye tegemeo la Arsenal

Michuano ya vilabu bingwa Ulaya inaanza September 15 ambapo klabu ya Arsenal inaanza kwa kukabiliana na Dinamo Zagreb katika uwanja wa Stadio Maksimir siku ya Jumatano. Kocha wa timu hiyo Arsene Wenger amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kununua mshambuliaji mpya, lakini anasema kuwa anakiamini kikosi chake na kwamba Theo Walcott ndio jibu la safu yake ya […]

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 ..

Ikiwa ni siku ya kwanza katika mwaka 2016 yaani mwaka mpya, kila mtu amesherehekea kwa namna yake. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee pichaz za mastaa wa soka walivyosherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Wengine walisherehekea sikukuu ya mwaka mpya wakiwa majumbani kwao na wapenzi wao na wengine kwa vinywaji flani hivi. Unataka kutumiwa MSG za […]

The post Pichaz za Neymar, Ronaldo, Kevin De Bruyne, Lampard, Walcott na wengine walivyosherehekea mwaka mpya 2016 .. appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

SUDAN KUSINI WAFANAYA ZIARA YA MAFUNZO YA KUBADILISHANA UZOEFU NA WATENDAJI WA SEKTA YA UJENZI NCHINI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga (wa kwanza kulia), akizungumza na viongozi wa ujumbe wa Serikali ya Sudan Kusini waliomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam jana.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga, akizungumza katika kikao cha mafunzo ya kubadilishana uzoefu katika masuala ya ujenzi wa miundombinu ya barabara na viongozi wa Sudan Kusini. (wa pili kushoto) ni Mkurugenzi wa Barabara wa Wizara ya Ujenzi Eng. Venny Ndaymukama,...

 

9 years ago

Michuzi

MAAFISA WAANDAMIZI KUTOKA MABUNGE YA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA KUBADILISHANA UZOEFU KAMPALA



 Maafisa Waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya Pamoja wakati wa Semina ya siku nne iliyowakutanisha kwa lengo la kubadilishana Uzoefu, Mjini Kampala - Uganda. Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Kimataifa kutoka Bunge la Tanzania Ndg. Jossey Mwakasyuka akifuatilia moja ya mada zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa warsha ya kubadilishana uwezo iliyowakutanisha Maafisa waandamizi kutoka Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki Mjini Kampala Uganda, jana.
KWA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani