Waliomshambulia Malala wakamatwa
Jeshi nchini Pakista limewakamata watu 10 wanaoshukiwa kupanga shambulio dhidi ya mwanaharakati Malala Yusufzai.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Shambulio la Christchurch: ‘Sitawahi kuwasamehe waliomshambulia binti yangu’
Watu 51 waliuawa baada ya watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki kumiminia risasi misikiti ya Al Noor na Linwood nchini Newzealand.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Freeman Mbowe: Marekani yaitaka Serikali ya Tanzania kuwakamata waliomshambulia
Marekani imetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuanzisha uchunguzi na hatimaye kukamatwa kwa wale wote waliohusika na shambulio la kiongozi wa upinzani nchini humo Freeman Mbowe.
5 years ago
Michuzi
WALIOMSHAMBULIA BINTI MWENYE UMRI WA MIAKA 12 WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
WANAWAKE watatu akiwemo mama mlezi wa binti mwenye umri wa miaka 12, Scholastica Charles (34) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kumfanyia ukatili binti yake (jina limehifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali.
Mbali na Scholastica, washtakiwa wengine ni Salma Hamisi (25) na Happy Joshua (44), ambapo wote ni wafanyabiashara wanaoishi Kitunda jijini Dar es Salaam.
Akisoma hati ya mashtaka leo, Wakili wa Serikali...
WANAWAKE watatu akiwemo mama mlezi wa binti mwenye umri wa miaka 12, Scholastica Charles (34) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kumfanyia ukatili binti yake (jina limehifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali.
Mbali na Scholastica, washtakiwa wengine ni Salma Hamisi (25) na Happy Joshua (44), ambapo wote ni wafanyabiashara wanaoishi Kitunda jijini Dar es Salaam.
Akisoma hati ya mashtaka leo, Wakili wa Serikali...
10 years ago
TheCitizen28 Dec
Malala wants more than Nobel
The Nobel Peace Prize for 2014 has been jointly awarded to two people, Kailash Satyarthi and Malala Yousafzay for their struggle against the suppression of children and young people and for the right of all children to education.
11 years ago
BBCSwahili14 Jul
Wito wa Malala Nigeria
Mwanaharakati, Malala Yousafzai amekutana na rais Goodlack Jonathan kutaka hatua zaidi kuchukuliwa kuwakoa wasichana waliotekwa na Boko Haram.
11 years ago
Michuzi14 Jul
Malala DAY uly 14, 2014
Stand with me and the Nigerian girls: show the world we are #StrongerThan those who deny schoolgirls an education. For more CLICK HERE
11 years ago
BBC
Malala meets Nigeria's leader
Pakistani rights activist Malala Yousafzai is meeting Nigeria's president to press for more action to free the schoolgirls held by militant Islamists.
11 years ago
BBC
Malala pleads for Nigerian captives
Nobel Peace Prize winner Malala Yousafzai calls on Nigeria to intensify efforts to free 219 schoolgirls held by Islamist militants six months ago.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania