Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliomshambulia Malala wakamatwa

Jeshi nchini Pakista limewakamata watu 10 wanaoshukiwa kupanga shambulio dhidi ya mwanaharakati Malala Yusufzai.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA

Kamishna wa polisi kanda maalum ya Dar es Salaam akionesha noti bandia zilizokamatwaJeshi la Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata kundi la watu saba wanaotengeneza noti bandia za dola ya Kimarekani huko maeneo ya Sinza katika Hotel iitwayo Mombasa Kinondoni, jijini Dar es Salaam. 
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...

 

5 years ago

BBCSwahili

Shambulio la Christchurch: ‘Sitawahi kuwasamehe waliomshambulia binti yangu’

Watu 51 waliuawa baada ya watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki kumiminia risasi misikiti ya Al Noor na Linwood nchini Newzealand.

 

5 years ago

BBCSwahili

Freeman Mbowe: Marekani yaitaka Serikali ya Tanzania kuwakamata waliomshambulia

Marekani imetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuanzisha uchunguzi na hatimaye kukamatwa kwa wale wote waliohusika na shambulio la kiongozi wa upinzani nchini humo Freeman Mbowe.

 

5 years ago

Michuzi

WALIOMSHAMBULIA BINTI MWENYE UMRI WA MIAKA 12 WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV

WANAWAKE watatu akiwemo mama mlezi wa binti mwenye umri wa  miaka 12, Scholastica Charles (34) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kumfanyia ukatili binti yake (jina limehifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali.

Mbali na Scholastica, washtakiwa  wengine ni Salma Hamisi (25) na Happy Joshua (44), ambapo wote  ni wafanyabiashara wanaoishi Kitunda jijini Dar es Salaam.

Akisoma hati ya mashtaka leo,  Wakili wa Serikali...

 

10 years ago

TheCitizen

Malala wants more than Nobel

The Nobel Peace Prize for 2014 has been jointly awarded to two people, Kailash Satyarthi and Malala Yousafzay for their struggle against the suppression of children and young people and for the right of all children to education.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wito wa Malala Nigeria

Mwanaharakati, Malala Yousafzai amekutana na rais Goodlack Jonathan kutaka hatua zaidi kuchukuliwa kuwakoa wasichana waliotekwa na Boko Haram.

 

11 years ago

Michuzi

Malala DAY uly 14, 2014

Stand with me and the Nigerian girls: show the world we are #StrongerThan those who deny schoolgirls an education.  For more CLICK HERE

 

11 years ago

BBC

Malala meets Nigeria's leader

Pakistani rights activist Malala Yousafzai is meeting Nigeria's president to press for more action to free the schoolgirls held by militant Islamists.

 

11 years ago

BBC

Malala pleads for Nigerian captives

Nobel Peace Prize winner Malala Yousafzai calls on Nigeria to intensify efforts to free 219 schoolgirls held by Islamist militants six months ago.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani