Shambulio la Christchurch: ‘Sitawahi kuwasamehe waliomshambulia binti yangu’
Watu 51 waliuawa baada ya watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki kumiminia risasi misikiti ya Al Noor na Linwood nchini Newzealand.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
WALIOMSHAMBULIA BINTI MWENYE UMRI WA MIAKA 12 WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
WANAWAKE watatu akiwemo mama mlezi wa binti mwenye umri wa miaka 12, Scholastica Charles (34) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kumfanyia ukatili binti yake (jina limehifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali.
Mbali na Scholastica, washtakiwa wengine ni Salma Hamisi (25) na Happy Joshua (44), ambapo wote ni wafanyabiashara wanaoishi Kitunda jijini Dar es Salaam.
Akisoma hati ya mashtaka leo, Wakili wa Serikali...
WANAWAKE watatu akiwemo mama mlezi wa binti mwenye umri wa miaka 12, Scholastica Charles (34) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kumfanyia ukatili binti yake (jina limehifadhiwa) na kumsababishia maumivu makali.
Mbali na Scholastica, washtakiwa wengine ni Salma Hamisi (25) na Happy Joshua (44), ambapo wote ni wafanyabiashara wanaoishi Kitunda jijini Dar es Salaam.
Akisoma hati ya mashtaka leo, Wakili wa Serikali...
11 years ago
BBCSwahili12 Sep
Waliomshambulia Malala wakamatwa
Jeshi nchini Pakista limewakamata watu 10 wanaoshukiwa kupanga shambulio dhidi ya mwanaharakati Malala Yusufzai.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Freeman Mbowe: Marekani yaitaka Serikali ya Tanzania kuwakamata waliomshambulia
Marekani imetoa wito kwa serikali ya Tanzania kuanzisha uchunguzi na hatimaye kukamatwa kwa wale wote waliohusika na shambulio la kiongozi wa upinzani nchini humo Freeman Mbowe.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
9 Wakamatwa shambulio la Lebanon
Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
UN:Shambulio la Burundi lichunguzwe
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-moon ametaka uchunguzi wa kina ufanywe kwa shambulio lililofanywa dhidi ya mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Burundi.
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Shambulio latibuka Kenya
Maafisa wa usalama Kenya wamekabiliana na watu waliojihami na vilipuzi waliojaribu kuyalipua mabasi kwa guruneti huko Lamu
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Shambulio dhidi ya Al Shabaab
Somalia inasema kuna uwezekano wa shambulio dhidi ya wapiganaji wa kiislamu Al Shabaab, wanayoidhibiti sehemu kubwa ya nchi hiyo.
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Obama: Hatutayumbishwa na shambulio
Rais Barack Obama amesema Marekani haitayumbishwa na shambulio la Jumatano katika mji wa San Bernardino, California.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania