Obama: Hatutayumbishwa na shambulio
Rais Barack Obama amesema Marekani haitayumbishwa na shambulio la Jumatano katika mji wa San Bernardino, California.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Obama: Shambulio la California lilikuwa la kigaidi
Rais Barack Obama amesema shambulio la San Bernardino wiki jana lilikuwa la kigaidi lakini akasema waliotekeleza mauaji hawakuwa na uhusiano na makundi kutoka nje.
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Shambulio latibuka Kenya
Maafisa wa usalama Kenya wamekabiliana na watu waliojihami na vilipuzi waliojaribu kuyalipua mabasi kwa guruneti huko Lamu
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
UN:Shambulio la Burundi lichunguzwe
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-moon ametaka uchunguzi wa kina ufanywe kwa shambulio lililofanywa dhidi ya mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Burundi.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Shambulio la Garissa, lilijulikana
Taarifa juu ya shambulio la kigaidi katika Chuo kikuu cha Garissa zilijulikana kabla ya tukio kutokea
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Shambulio la 9/11 lilifadhiliwa na nani?
Mfungwa Zacarias Moussaoui, aliyefungwa katika gereza la Colorado ,ambaye picha yake haikuwahi kuoneshwa, ameibuka na madai mapya.
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
9 Wakamatwa shambulio la Lebanon
Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Shambulio dhidi ya Al Shabaab
Somalia inasema kuna uwezekano wa shambulio dhidi ya wapiganaji wa kiislamu Al Shabaab, wanayoidhibiti sehemu kubwa ya nchi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania