Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama: Hatutayumbishwa na shambulio

Rais Barack Obama amesema Marekani haitayumbishwa na shambulio la Jumatano katika mji wa San Bernardino, California.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Obama: Shambulio la California lilikuwa la kigaidi

Rais Barack Obama amesema shambulio la San Bernardino wiki jana lilikuwa la kigaidi lakini akasema waliotekeleza mauaji hawakuwa na uhusiano na makundi kutoka nje.

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio latibuka Kenya

Maafisa wa usalama Kenya wamekabiliana na watu waliojihami na vilipuzi waliojaribu kuyalipua mabasi kwa guruneti huko Lamu

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Shambulio la Burundi lichunguzwe

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Ban Ki-moon ametaka uchunguzi wa kina ufanywe kwa shambulio lililofanywa dhidi ya mwanaharakati wa haki za binadamu nchini Burundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la Garissa, lilijulikana

Taarifa juu ya shambulio la kigaidi katika Chuo kikuu cha Garissa zilijulikana kabla ya tukio kutokea

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la 9/11 lilifadhiliwa na nani?

Mfungwa Zacarias Moussaoui, aliyefungwa katika gereza la Colorado ,ambaye picha yake haikuwahi kuoneshwa, ameibuka na madai mapya.

 

9 years ago

BBCSwahili

9 Wakamatwa shambulio la Lebanon

Idara za Usalama nchini Lebanon zimefanikiwa kuwashikilia watu tisa wanaodhaniwa kuhusika katika shambuilio la Lebanon na kuua zaidi ya watu 40.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulio dhidi ya Al Shabaab

Somalia inasema kuna uwezekano wa shambulio dhidi ya wapiganaji wa kiislamu Al Shabaab, wanayoidhibiti sehemu kubwa ya nchi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani