WAMA KWA KUSHIRIKIANA NA ENGENDERHEALTH KWA UFADHILI WA WATU WA MAREKANI KUZINDUA KAMPENI YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aY-qtMEepXA/VISPN_bLFLI/AAAAAAAG1yA/2U9NH0nIWrE/s72-c/wama.jpg)
Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) kwa kushirikiana na Engenderhealth kwa ufadhili wa watu wa Marekani itazindua kampeni ya kuzuia mimba za utotoni katika Shule za Sekondari ijulikanayo kama “Jilinde Utimize Ndoto Yako” kesho Jumatatu tarehe 08 Desemba, 2014.
Uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) kuanzia saa 4.00 Asubuhi hadi 07.00 Mchana. Mgeni Rasmi atakuwa Mhe. Mama Salma Kikwete, Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA. Lengo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA WILAYA YA TEMEKE.
10 years ago
Habarileo12 Jan
WAMA kuelimisha mimba za utotoni
MKE wa Rais, Mama Salma Kikwete amesema katika mwaka huu Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (Wama), itaendelea kujikita katika kuelimisha jamii kuzuia na kudhibiti mimba za umri mdogo hususani kwa wanafunzi wa shule za sekondari.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DYAXI7FmxnE/VBgU-zEn4ZI/AAAAAAAGj4U/besM7rpXFT8/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
WAMA KWA KUSHIRIKIANA NA UNICEF WAANDAA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA SEKONDARI WAMA-NAKAYAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DYAXI7FmxnE/VBgU-zEn4ZI/AAAAAAAGj4U/besM7rpXFT8/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8QL4Pcx-Dls/VBgU-gFh7bI/AAAAAAAGj4M/bFyLU7ndhpQ/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--Dkuds_hK0U/VBgU-4ONw-I/AAAAAAAGj4Q/lvf55quPn6o/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s72-c/2-8-768x432.jpg)
DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-eQPXYC70aYY/XuC5JFSSvMI/AAAAAAALtU0/jb-I3Xs9CjUVJb1TgoUdWzS0eP7OguDIACLcBGAsYHQ/s640/2-8-768x432.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3-11-1024x576.jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rdDce0s4-TI/U_SEUtlFryI/AAAAAAAGA4w/3neMxcTvspc/s72-c/1.jpg)
SOS CHILDREN TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA MONTAGE LTD YAANDAA KAMPENI YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA WATOTO WAISHIO KWENYE MAZINGIRA MAGUMU
![](http://3.bp.blogspot.com/-rdDce0s4-TI/U_SEUtlFryI/AAAAAAAGA4w/3neMxcTvspc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aaa85DzqTMU/U_SEWTG-EZI/AAAAAAAGA4c/xi8To9od5u8/s1600/5.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
10 years ago
MichuziJK apokea vitabu vya sayansi kwa shule za Sekondari vilivyochapishwa kwa msaada wa watu wa marekani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0PZpI_EqPWE/VYLb2rVqg1I/AAAAAAABiDA/02Dy7SQ_wfY/s72-c/IMG_3714.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA KUSHIRIKIANA NA ASASI ZA KIMATAIFA WILDAID, AFRICAN WILDLIFE FOUNDATION WAZINDU KAMPENI YA KUPAMBA NA NA UJADILI WA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-0PZpI_EqPWE/VYLb2rVqg1I/AAAAAAABiDA/02Dy7SQ_wfY/s640/IMG_3714.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gNuilYM6hwI/VYLb2rbXtvI/AAAAAAABiC8/w0e4qbg1f44/s640/IMG_3731.jpg)