WAMA KWA KUSHIRIKIANA NA UNICEF WAANDAA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA SEKONDARI WAMA-NAKAYAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DYAXI7FmxnE/VBgU-zEn4ZI/AAAAAAAGj4U/besM7rpXFT8/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mkuu wa Kitengo cha Uragibishi na Mawasiliano kutoka Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Ndugu Philomena Marijani akiwakaribisha walimu na wageni waalikwa wakati wa sherehe ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa Shule ya Sekondari WAMA-Nakayama iliyoko katika Kijiji cha Nyamisati huko Wilayani Rufiji yaliyofanyika shuleni hapo tarehe 15.9,2014.
Baadhi ya walimu wa Shule ya Sekondari WAMA-Nakayama wakifuatilia kwa makini hotuba ya ufungunzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
TANGAZO- Nafasi za kujiunga na kidato cha Kwanza- Shule za Sekondari WAMA NAKAYAMA na WAMA SHARAF
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2016.doc
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2GPuD28HkY4/VjLwR4bkI0I/AAAAAAAIDcw/_fUmPkoXckc/s72-c/w1.png)
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA- SHULE ZA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA RUFIJI NA WAMA SHARAF LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2GPuD28HkY4/VjLwR4bkI0I/AAAAAAAIDcw/_fUmPkoXckc/s640/w1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-uJIafh4vE/VjLwODce8dI/AAAAAAAIDck/ZkfUJkYcX8I/s640/w2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NFonGVfxtXg/VjLwN3KG1rI/AAAAAAAIDcg/B8VLKW-Au1Y/s1600/w.jpg)
Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule zake mbili za Sekondari:
(1) Shule ya Sekondari WAMA - Nakayama iliyopo Kijiji cha Nyamisati Wilaya ya Rufiji , Mkoa wa Pwani:(2) Shule ya Sekondari ya WAMA- Sharaf iliyopo Mitwero katika Manispaa ya Lindi
WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma...
10 years ago
MichuziWAMA WAKISHIRIKIANA NA ENGENDER HEALTH WAANDAA SEMINA YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA WILAYA YA TEMEKE.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eIqjdani8g8/U5YJ8f0XT1I/AAAAAAAFpWs/VSlubaL8fmc/s72-c/Mama-Kikwete.jpg)
Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama wapewa msaada wa basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-eIqjdani8g8/U5YJ8f0XT1I/AAAAAAAFpWs/VSlubaL8fmc/s1600/Mama-Kikwete.jpg)
Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama inayomilikiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) imepatiwa msaada wa basi na kampuni ya Ashok Leyland ya jijini Dar es Salaam.
Makabidhiano ya basi hilo yamefanyika leo katika viwanja vya Taasisi hiyo iliyopo wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Akiongea mara baada ya makabidhiano hayo Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete aliwashukuru viongozi wa kampuni hiyo kwa msaada walioutoa na kusema anaamini msaada huo...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA TAMASHA LA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA KATIKA SHULE YA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aeRtHEnXSSU/VEpfWnPEw7I/AAAAAAAGtLE/3-POLaBKhMc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-10-24%2Bat%2B5.08.43%2BPM.png)
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mke wa Rais wa China aipa msaada Shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifanya mazungumzo rasmi na mwenyeji wake Mke wa Rais wa China Mama Peng Liyuan.
Na Anna Nkinda – Beijing, China
Mke wa Rais wa China Mama Peng Liyuan ameahidi kutoa vifaa vya shule vikiwemo vya maabara pamoja na vitabu kwa ajili ya shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama ili wanafunzi hao waweze kusoma vizuri masomo ya sayansi.
Mama Liyuan aliitoa ahadi hiyo jana wakati akiongea na mke wa Rais Mama Salma Kikwete katika ukumbi maarufu wa watu (Great hall of...
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
TANGAZO: Nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya WAMA — Nakayama
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog