WAMA na Balozi wa Jamuhuri ya watu wa China kufanya ziara mikoa ya kanda ya ziwa kusaidia jamii
Mkurugenzi wa Uboreshaji Afya Wama, Dkt.Sarah Maongezi (Kulia) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kuhusu ushirikiano uliopo baina ya Taasisi ya Wanawake na Maendeleo pamoja na Jamuhuri ya Watu wa China nchini katika kusaidia wananchi ikiwemo ziara wanaoyotarajia kuifanya katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kuanzia tarehe 12 hadi 19 Aprili mwaka huu,Katika ni katibu wa Balozi wa China nchini,Ren Zhihong na Meneja Mawasiliano wa Wama Philomema Marijani.
Katibu wa Balozi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lq0IenuLQWE/UvIf11FZMLI/AAAAAAAFK_8/lUS2MVOhw7s/s1600/unnamed+(36).jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VJyHriDYAZk/U2NRNWJJqhI/AAAAAAAAAQU/MrIVrAqWmnU/s72-c/1.jpg)
ASASI TANO ZINAZOPATA RUZUKU TOKA MFUKO WA MSAADA WA KISHERIA (LSF) KWA MIKOA YA KANDA YA ZIWA ZAMALIZA ZIARA YA SIKU 3 SHIRIKA LA KIVULINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-VJyHriDYAZk/U2NRNWJJqhI/AAAAAAAAAQU/MrIVrAqWmnU/s1600/1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Balozi Mdogo wa Jamuhuri ya Watu wa China aliyepo Zanzibar awasilisha agizo la Serikali yake kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/--1_1Le5EjP0/U1zBS2HsAxI/AAAAAAAFdcM/5qStY5PxIBA/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TrC4TyHFPKQ/U1zBUAVpaVI/AAAAAAAFdcY/Ka-s_bPNpX0/s1600/unnamed+(33).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JBLBLEDKFbs/UvvGGZ0UxeI/AAAAAAAFMqk/jA0w3RTUdDQ/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji amewapongeza Wakuu wa Mikoa wa Kanda ya Ziwa katika juhudi zao za kuhakikisha Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa linafanyika.
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-UPJrPURGqlw/XqQE1LREBpI/AAAAAAAC35o/8yvxtjCTDKMlLnbmJ06dSaFk87sZypFLwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.webp)
MIKOA YA KANDA YA ZIWA YAKUMBWA NA TETEMEKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-UPJrPURGqlw/XqQE1LREBpI/AAAAAAAC35o/8yvxtjCTDKMlLnbmJ06dSaFk87sZypFLwCLcBGAsYHQ/s400/1.webp)
Mjolojia Mwandamizi kutoka taasisi ya Jiolojia Bwana Gabriel Mbogoni amesema Tetemeko hilo lina ukubwa wa 4.6 katika Vipimo vya Richta.
Bwana Mbogoni amesema Tanzania imepitiwa na mkondo wa bonde la ufa la Afrika Mashariki ikiwa na mikondo miwili mkondo wa Mashariki na mkondo wa Magharibi hivyo matukio ya mateteko ya ardhi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s72-c/membe.jpg)
Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China
![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s1600/membe.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mUfC1Jhqtpo/Uv06tiNVMZI/AAAAAAAFNDw/RUzU8Veowrc/s72-c/unnamed+(9).jpg)
TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-mUfC1Jhqtpo/Uv06tiNVMZI/AAAAAAAFNDw/RUzU8Veowrc/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dr4VMbcMRNY/Uv06sPkqp3I/AAAAAAAFNDc/KEu7B0W4NFU/s1600/unnamed+(10).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s72-c/MMG21480.jpg)
TIC YAINGIA MKATABA WA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TvH1UAP5swE/Uv0wDxNRmxI/AAAAAAAFNBk/C34pdJHWzIY/s1600/MMG21480.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Pongezi Kanda ya Ziwa kufanya vizuri darasa la saba
Jana Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2015.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania