Wamalawi wafanya uchaguzi mkuu leo
Wapiga kura nchini Malawi wameamkia kwenye vituo vya kupigia kura kuwachagua viongozi wao katika uchaguzi wenye mchuano mkali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog27 Jul
Chadema Makete wafanya uchaguzi mkuu kwa mara ya kwanza
Msimamizi wa Uchaguzi Bw. Alfred Kayombo (kulia) akimtangaza mshindi wa nafasi ya mwenyekiti Bw. Ibrahim Ngogo.
Na Edwin Moshi, Makete
Kwa mara ya kwanza katika historia, chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Makete mkoani Njombe kimefanya uchaguzi wa uongozi mbalimbali ambapo Bw. Ibrahim Ngogo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho wilaya.
Akitangaza matokeo msimamizi wa uchaguzi huo Bw. Alfred Kayombo amesema Bw. Ibrahim Ngogo amepata kura 25 akifuatiwa na Isaac...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Wamalawi kumpima kocha mpya Stars leo
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake mpya, Mholanzi Martinus Ignatius ‘Mart’ Nooij, leo wanawakabili Malawi ‘The Flames’ katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayochezwa Uwanja...
11 years ago
GPLCHADEMA MAKETE WAFANYA UCHAGUZI MKUU KWA MARA YA KWANZA
11 years ago
Michuzi27 Jul
CHADEMA WILAYANI MAKETE WAFANYA UCHAGUZI MKUU KWA MARA YA KWANZA
Na Edwin Moshi, MaketeAkitangaza matokeo msimamizi wa uchaguzi huo Bw. Alfred Kayombo amesema Bw. Ibrahim Ngogo amepata kura 25 akifuatiwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N0Xct7ZPYQ0/default.jpg)
Simu TV: Mahujaji wa Tanzania wafanya Ibada kuombea amani Tanzania wakati na baada ya uchaguzi mkuu
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Habarileo07 Aug
Taswa kujadili uchaguzi mkuu leo
KAMATI ya Utendaji ya chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania (TASWA) leo itakutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.
10 years ago
Dewji Blog07 May
Uingereza kufanya uchaguzi Mkuu leo
UK, London. Wananchi wa Uingereza leo Mei 7,2015, wanatarajia kupiga kura kuchagua wagombea wa vyama katika uchaguzi mkuu.
Awali katika kampeni za viongozi wa vyama vya siasa wanaowania viti, akiwemo Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza wafanyakazi.
Kiongozi wa Lib Dem, Nick Clegg yeye ameahidi hali ya utulivu. Kura ya maoni inaonyesha...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-scuLHbBl8Ts/VizxbC8c5mI/AAAAAAAA00c/jyklfaEYr9U/s72-c/IMG_20151025_172455.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-nwH0_KIo0as/Viz-Lzh90qI/AAAAAAAAW-U/3Ftj2poomWc/s72-c/1.jpg)
Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015