Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamalawi wafanya uchaguzi mkuu leo

Wapiga kura nchini Malawi wameamkia kwenye vituo vya kupigia kura kuwachagua viongozi wao katika uchaguzi wenye mchuano mkali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Chadema Makete wafanya uchaguzi mkuu kwa mara ya kwanza

DSC09218

Msimamizi wa Uchaguzi Bw. Alfred Kayombo (kulia) akimtangaza mshindi wa nafasi ya mwenyekiti Bw. Ibrahim Ngogo.

DSC09213

Na Edwin Moshi, Makete

Kwa mara ya kwanza katika historia, chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Makete mkoani Njombe kimefanya uchaguzi wa uongozi mbalimbali ambapo Bw. Ibrahim Ngogo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho wilaya.

Akitangaza matokeo msimamizi wa uchaguzi huo Bw. Alfred Kayombo amesema Bw. Ibrahim Ngogo amepata kura 25 akifuatiwa na Isaac...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamalawi kumpima kocha mpya Stars leo

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake mpya, Mholanzi Martinus Ignatius ‘Mart’ Nooij, leo wanawakabili Malawi ‘The Flames’ katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayochezwa Uwanja...

 

11 years ago

GPL

CHADEMA MAKETE WAFANYA UCHAGUZI MKUU KWA MARA YA KWANZA‏

 Msimamizi wa Uchaguzi Bw. Alfred Kayombo (kulia) akimtangaza mshindi wa nafasi ya mwenyekiti Bw. Ibrahim Ngogo. Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Makete mkoani Njombe, Ibrahim Ngogo. Kwa mara ya kwanza katika historia, Chama cha Demokrasia na…

 

11 years ago

Michuzi

CHADEMA WILAYANI MAKETE WAFANYA UCHAGUZI MKUU KWA MARA YA KWANZA

 Msimamizi wa Uchaguzi Bw. Alfred Kayombo (kulia) akimtangaza mshindi wa nafasi ya mwenyekiti Bw. Ibrahim Ngogo.Kwa mara ya kwanza katika historia, chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Makete mkoani Njombe kimefanya uchaguzi wa uongozi mbalimbali ambapo Bw. Ibrahim Ngogo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho kwa ngazi ya wilaya.
Na Edwin Moshi, MaketeAkitangaza matokeo msimamizi wa uchaguzi huo Bw. Alfred Kayombo amesema Bw. Ibrahim Ngogo amepata kura 25 akifuatiwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Taswa kujadili uchaguzi mkuu leo

KAMATI ya Utendaji ya chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania (TASWA) leo itakutana kujadili masuala mbalimbali yanayohusu chama hicho.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uingereza kufanya uchaguzi Mkuu leo

UK

UK, London. Wananchi wa Uingereza leo  Mei 7,2015, wanatarajia kupiga kura  kuchagua  wagombea  wa vyama  katika uchaguzi mkuu.

Awali katika kampeni za  viongozi wa vyama vya siasa wanaowania viti, akiwemo Waziri Mkuu, David Cameron ameahidi kuifanya Uingereza kuwa katika njia ya mafanikio, wakati ambapo kiongozi wa Chama cha Labour Ed Miliband akiahidi kuwa na serikali itakayowajali kwanza wafanyakazi.

Kiongozi wa Lib Dem, Nick Clegg yeye ameahidi hali ya utulivu. Kura ya maoni inaonyesha...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015

1. Hali ya vitisho vya jeshi la polisi na kamata kamata iliyoanza jana usiku hadi leo asubuhi. Wawaache wananchi watumie haki yao ya kikatiba kumchagua kiongozi wanayemtaka. 2. Suala la watu wenye kadi lakini majina yao hayapo, ambapo kisheria inatakiwa msimamizi awape fomu namba 19 kisha waijaze na kupiga kura. Tumewataka wananchi kutokuondoka vituoni hadi wapate haki hiyo ya kujaza fomu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani