Wana CCM Newala wahimizwa umoja
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapindunzi (CCM), Wilaya ya Newala mkoani Mtwara, Alyu Lilama, awewataka wanachama wa chama hicho kushirikiana ili kuhakikisha wanapata ushindi wa kishindo katika chaguzi zinazokuja. Wito huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
10 years ago
Michuzi27 Nov
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AMALIZA ZIARA YAKE NEWALA, LEO YUKO TANDAHIMBA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/189.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/249.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AMALIZA ZIARA YAKE NEWALA, LEO YUKO TANDAHIMBA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na viongozi wa kiwanda cha kubangua korosho mjini Newala kulia Niry Patel Mratibu wa Usafirishaji na katikati ni Ednyadayu Meneja wa ufundi.…
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJIâ€
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.  DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda… ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
10 years ago
VijimamboWANA CCM BEIJING WAKUTANA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania