Wanafunzi 1,700 wakacha shule
WANAFUNZI 1,725 waliotakiwa kujiunga na masomo ya kidato cha kwanza wilayani Kilolo, wameshindwa kuripoti kutokana na sababu mbalimbali. Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kilichofanyika katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wanafunzi 290 wakacha sekondari
WANAFUNZI 292 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wilayani Kyela, Mbeya, hawajaripoti shule kuanza masomo kutokana na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito kwa wanafunzi wa kike. Kauli hiyo ilitolewa jana...
10 years ago
Mtanzania09 May
Wanafunzi 700 washindwa kuripoti shuleni
NA TWALAD SALUM, MISUNGWI
WANAFUNZI 712 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu Misungwi, mkoani Mwanza, bado hawajaanza masomo yao katika shule 23 za sekondari.
Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Misungwi, Tabu Makanga.
Alisema wanafunzi waliofaulu kwenda sekondari ni 3,884 na kati ya hao, 700 hawajaripoti katika shule walizopangiwa, huku 12 wakiwa wamehamishiwa shule nyingine kwa taratibu za kisheria.
Alisema wavulana waliofaulu na kutakiwa...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Shule 700 zafungwa Korea Kusini
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Wasichana 700 wapata mimba, waacha shule
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA: SH. MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA
Ruangwa, Lindi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa sh. milioni 700 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule maalumu ya sekondari ya wasichana.
Amesema Serikali inataka mtoto wa kike asome kuanzia darasa la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tteq2q5JODI/XvDIyD8xQiI/AAAAAAALu-0/DVd8WT59sVYwE1fKmKLqnUp1znsuiaJwgCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_3089AAAAAAAAAAAAAAA-768x512.jpg)
MILIONI 700 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA RUANGWA-MAJALIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tteq2q5JODI/XvDIyD8xQiI/AAAAAAALu-0/DVd8WT59sVYwE1fKmKLqnUp1znsuiaJwgCLcBGAsYHQ/s640/PMO_3089AAAAAAAAAAAAAAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_3031AAAA-1024x650.jpg)
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa , Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembea katika mitaa ya Ruangwa Juni 21, 2020. Wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Ruangwa, Hassim Mgandilwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PMO_3036AAAAAAAAAAAAA-1024x700.jpg)
Waziri Mkuu na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipotembelea eneo la Kituo cha Mabasi...
10 years ago
GPLBAADA YA SHULE YA SEKONDARI YA IFUNDA KUFUNGWA KWA VURUGU UONGOZI WA SHULE HIYO WAWAITA WANAFUNZI 28
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CpMxqCMzigGM7*eRJWeleQQCPBXt-ePpSdJ8XaQz67gJe1Ak*7swzkqk-v89hIAZI8kWpkqIlMGx2qbwM6a3*fP/DarasalamuzikikatikatahasisiyashuleyamuzikiReutlingenJhikomananakubalikakimataifa.jpg?width=650)
JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI