Wanahabari wahimizwa kuzingatia maadili
WAANDISHI wa habari mkoani Mtwara wametakiwa kusimamia, kuzingatia na kufuata misingi ya maadili ya kazi zao kwa kuandika habari zenye usahihi na ukweli ambazo zimefanyiwa uchunguzi wa kina ili kuleta...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWatumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
11 years ago
GPLWAANDISHI WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI KWENYE KURIPOTI BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Wakurugenzi wahimizwa kuzingatia mafunzo
VIONGOZI wa mashirika na kampuni mbalimbali katika sekta za umma na binafsi, wametakiwa kuhakikisha wanazingatia mafunzo ya mara kwa mara ili kumudu vema majukumu yao kwa faida ya taasisi na...
9 years ago
MichuziWatumishi wa Sekretarieti ya Ajira watakiwa kuzingatia Maadili
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia miiko na maadili
NA KHADIJA MUSSA
MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Dk. Stephen Bwana, amewataka watumishi wa umma kujiepusha na ushabiki wa siasa za mpito, badala yake wazingatie katiba, miiko na maadili ya utumishi wa umma.
Alisema kuna upungufu katika uzingatiaji wa maadili, hivyo aliwataka watumishi hao kubadilika na kutojihusisha na ushabiki wa siasa, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu kwani hakuna nchi duniani, ambayo watumishi wake hawazingatii maadili.
Pia aliahidi...
11 years ago
Mtanzania11 Aug
Jaji Lila awataka waandishi kuzingatia maadili
Jaji Shaaban Lila
Veronica Romwald na Grace Shitundu, Dar es Salaam
VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuzingatia maadili, weledi na miiko ya uandishi wa habari ili kuepusha migogoro inayoweza kuhatarisha amani ya nchi.
Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Jaji Shaaban Lila, wakati akizindua Bodi mpya ya Baraza la Habari Tanzania (MCT).
Alisema vyombo vya habari vinapaswa kutotumika na vyama vya siasa kwa kuandika habari zenye mrengo mmoja na kuepuka habari za...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira nchini watakiwa kuzingatia Maadili!!
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki akipata maelezo kutoka kwa watendaji wa Sekretarieti ya ajira (hawapo pichani) alipofanya ziara katika ofisi hiyo, mapema leo Desemba 29.
Na Kassim Nyaki, Afisa Mawasiliano Sekretarieti ya Ajira
Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao, kwa kuwa kazi wanayoifanya ni nyeti na inagusa maisha ya watu ambayo itahitaji watu...
9 years ago
MichuziWAHITIMU ADILI HIGH SCHOOL WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.