Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanahabari wahimizwa kuzingatia maadili

WAANDISHI wa habari mkoani Mtwara wametakiwa kusimamia, kuzingatia na kufuata misingi ya maadili ya kazi zao kwa kuandika habari zenye usahihi na ukweli ambazo zimefanyiwa uchunguzi wa kina ili kuleta...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.

Na. Ally Mataula Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wametakiwa kuzingatia maadili wanapokuwa wanatimiza majukumu yao ya kila siku. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Ikulu Bw. Peter Ilomo wakati akifungua Mkutano wa kumi na mbili wa Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma uliofanyika Jijini Mbeya tarehe 28 Mei, 2014.  Bw. Ilomo alisema kuwa jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kusimamia Maadili ya...

 

11 years ago

GPL

WAANDISHI WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI KWENYE KURIPOTI BUNGE LA KATIBA‏

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe Samia Sululu Hassan akifungua warsha ya siku moja kwa wahariri na waandishi wa habari juu ya nafasi ya watetezi wa Haki za Binadamu katika Katiba mpya. Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Ndg. Onesmo Olengurumwa akitoa mada juu ya ya mtazamo na jukumu la wabunge wa katiba na waandishi wa habari za katiba pamoja na watetezi wa haki za binadamu… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakurugenzi wahimizwa kuzingatia mafunzo

VIONGOZI wa mashirika na kampuni mbalimbali katika sekta za umma na binafsi, wametakiwa kuhakikisha wanazingatia mafunzo ya mara kwa mara ili kumudu vema  majukumu yao kwa faida ya taasisi na...

 

9 years ago

Michuzi

Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira watakiwa kuzingatia Maadili

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki akipata Maelezo ya juu wa upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya Mtandao kutoka kwa Naibu Katibu wa Kitengo cha TEHAMA Mhandisi Samweli Tanguye.

Na Kassim Nyaki.

Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao, kwa kuwa kazi wanayoifanya ni nyeti na inagusa maisha ya watu ambayo itahitaji watu waadilifu, wapenda haki na mfano mwema kwa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia miiko na maadili


NA KHADIJA MUSSA
MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Dk. Stephen Bwana, amewataka watumishi wa umma kujiepusha na ushabiki wa siasa za mpito, badala yake wazingatie katiba, miiko na maadili ya utumishi wa umma.
Alisema kuna upungufu katika uzingatiaji wa maadili, hivyo aliwataka watumishi hao kubadilika na kutojihusisha na ushabiki wa siasa, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu kwani hakuna nchi duniani, ambayo watumishi wake hawazingatii maadili.
Pia aliahidi...

 

11 years ago

Mtanzania

Jaji Lila awataka waandishi kuzingatia maadili

Jaji Shaaban Lila

Jaji Shaaban Lila

Veronica Romwald na Grace Shitundu, Dar es Salaam

VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuzingatia maadili, weledi na miiko ya uandishi wa habari ili kuepusha migogoro inayoweza kuhatarisha amani ya nchi.

Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki na Jaji Shaaban Lila, wakati akizindua Bodi mpya ya Baraza la Habari Tanzania (MCT).

Alisema vyombo vya habari vinapaswa kutotumika na vyama vya siasa kwa kuandika habari zenye mrengo mmoja na kuepuka habari za...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira nchini watakiwa kuzingatia Maadili!!

Mhe. Anjella Kairuki

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki  akipata maelezo kutoka kwa watendaji wa Sekretarieti ya ajira (hawapo pichani) alipofanya ziara katika ofisi hiyo, mapema leo Desemba 29.

Na Kassim Nyaki, Afisa Mawasiliano Sekretarieti ya Ajira

Watumishi wa Sekretarieti ya Ajira wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao, kwa kuwa kazi wanayoifanya ni nyeti na inagusa maisha ya watu ambayo itahitaji watu...

 

9 years ago

Michuzi

WAHITIMU ADILI HIGH SCHOOL WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

Mgeni Rasmi katika Mahafali ya kwanza ya Shule ya Sekondari Adili High School,Moshono Jijini Arusha,Profesa Raymond Mosha akiangalia kazi zilizoandaliwa na wanafunzi wa masomo ya Sayansi ikiwa ni sehemu ya mahafali ya kidato cha Nne.Wazazi wa wanafunzi wanaotarajia kuhitimu Kidato cha Nne wakifatilia kazi za ubunifu zilizoandaliwa kwaajili ya kuonesha uwezo wao katika masomo ya Sayansi kwenye  Mahafali ya kwanza ya Shule ya Sekondari Adili High School.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani