WANAKIJIJI WA KIJIJI CHA ENGUSEROSAMBU WAFURAHIA MSITU KUREJESHWA MIKONONI MWAO.
Mraghbishi Noorkiyengop Mbaima toka kijiji cha Enguserosambu akisimama mbele ya mifugo iliyokutwa msituni katika eneo lililoruhusiwa la msitu wa jamii wa Enguserosambu
Ilikuwa ni siku ya shangwe na furaha kwa wananchi wa kata ya Enguserosambu wilayani Ngorongoro. Hii ni baada ya serikali kukubali ombi lao la kusimamia rasilimali ya msitu wa Loliondo namba 2 unaopakana na vijiji vinne vinavyokadiriwa kuwa na idadi ya wakazi wapatao 20,000 wanaotegemea mahitaji yao toka katika huo msitu.
Huu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Mar
OLOLOSOKWAN WAFURAHIA UJIO WA KIJIJI CHA DIGITALI ENEO LAO
![DSC_0003](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00031.jpg)
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa kikundi kazi cha sekta ya Tehama, Al Amin Yusuph akiwasilisha mrejesho wa kazi ya kikundi chake wakati wa kuhitimisha warsha ya wiki moja ikiwa ni sehemu ya mandalizi ya utekelezaji wa mradi wa kijiji cha kidigitali Ololosokwan wilayani Ngorongoro mkoani Arusha.(Picha na zote Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Mwandishi Wetu
WAKAZI wa kijiji cha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00031.jpg)
OLOLOSOKWAN WAFURAHIA UJIO WA KIJIJI CHA DIGITALI ENEO LAO
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Wanakijiji Pande wafurahia neema ya huduma za afya
MARADHI ni mojawapo ya maadui watatu ukiacha ujinga na umasikini. Hivyo bila kuwa na mchango wa sekta binafsi au wafadhili, serikali pekee haiwezi kupambana nayo. Ukosefu wa huduma za afya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s72-c/IMG-20150810-WA0020.jpg)
WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s640/IMG-20150810-WA0020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UdmRQchvpo8/VckOQ4MHqmI/AAAAAAAAcPM/qXNNJVdOGmM/s640/IMG-20150810-WA0026.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tv6bblZXVEo/Xr11_PKr16I/AAAAAAALqPc/QZINf_I7LpsncJDEea2lTd0sRFBVPPyagCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1589462861742.jpg)
SHILATU ASHIRIKI UJENZI OFISI YA KIJIJI WANANCHI WAFURAHIA
Akemea hujuma na tamaa ya posho
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu ameshiriki pamoja na Wananchi kwenye ujenzi ofisi ya Kijiji cha Mwenge A kilichopo kata ya Kitama kwa kumwaga zege jamvi.
Gavana Shilatu alijumuika na Wananchi hao ambao walikuwa na kiu ya siku nyingi ya kupata ofisi ya Kijiji chao na hatimaye limewezekana kwa ushirikiano mkubwa wa Afisa Tarafa huyo.
Gavana Shilatu aliwasisitiza Wananchi kuwa Wazalendo na kuacha tamaa ili malengo ya mradi wa...
10 years ago
Michuzi05 Jan
SERIKALI YAREJESHA KIWANDA CHA CHAI CHA MPONDE MIKONONI MWA WANANCHI.
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s-t4dc7DvH8/XmjYLgeUSbI/AAAAAAALim8/6ROl3wKwwDsM_weffSQ8nIdtIMb4GWhqQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Wanakijiji wahamasika na kilimo cha miti Njombe
Kikundi cha Kiwamiko chenye jumla ya wanakikundi 77 ambacho kilianza rasmi mwaka 2012 kimepata bahati ya kuwezeshwa miche ya miti na kila mwanakikundi anamiliki ekari tano za...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s72-c/2.jpg)
WANANCHI WA KIJIJI CHA MPONDE WARUDISHIWA UMILIKI WA KIWANDA CHA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oUWk_jN_sw4/VKkz-AXIfSI/AAAAAAAAVKc/KSsPgN5pcz8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8EzhjnGIuc/VKk0IvM7tUI/AAAAAAAAVKk/-yUVueYsfyU/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_UGFAqiK0U/VKlyOBMUTzI/AAAAAAAAVK0/_ce_iuj8qGQ/s1600/1.jpg)