WANANCHI DAR WAZIDI KUIPOKEA SIMU DOCTOR
Mfanyakazi wa Global Publishers, Jimmy Haroub (kushoto) akiwaelekeza wakazi wa eneo la Buguruni, Dar namna ya kujiunga na huduma ya Simu Doctor kupitia mtandao wa simu ya Vodacom. Wafanyakazi wa Global, Jimmy Haroub na Robert Tillya (waliosimama) wakiwaelekeza wakazi wa maeneo ya Mtongani, Dar namna ya kujiunga na Simu Doctor.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..
Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘King Kiba‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !! Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi […]
The post Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam.. appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g6Hwtph2hvVtmp62BY39Z0IewsOUSKfXwLTUk9yMDrGTlynwazTDsYQRxQBpXyADArXlU961SoDL14Wb8i2ZRMR/IMG20141102WA0010.jpg)
SIMU DOCTOR YAWA GUMZO NDANI YA JIJI LA ARUSHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cUcqGQlrUXU/XnhUSXN4mbI/AAAAAAALkwk/dFRz1IjmGx0Zh6ZfGxSWWiQOFhxtLVh1ACLcBGAsYHQ/s72-c/3170ebfa-77ab-4957-aa93-33f5b12aba8e.jpg)
VIJANA WANAOVUTA GUNDI WAZIDI KUSHAMIRI DODOMA, WANANCHI WAFUNGUKA
Charles James, Michuzi Globu
PAMOJA na Jiji la Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi lakini bado idadi ya vijana wanaotumia dawa za kulevya aina ya gundi imezidi kuwa tatizo kwa wananchi wa jiji hilo.
Vijana hao wamekua wakishinda na kuzagaa katikati ya Jiji maeneo ya viwanja vya Nyerere ambapo wamekua wakicheza kamari, kusumbua wananchi wanaopita, wanafunzi na zaidi wakivuta gundi hadharani.
Globu ya Jamii imefanya uchunguzi wake na kugundua kuwa umri wa vijana hao ni kuanzia miaka tisa hadi 21 na...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Kampuni ya Simu ya Tigo, Huawei wazindua simu ya watu wa hali ya chini jijini Dar
Meneja wa Vifaa vya Huawei, Peter Zhang Nchini (kulia), akionesha aina ya simu ya Huawei Y 360 na Y 625 ambazo zina uwezo wa hali ya juu katika matumizi ya nyanja mbalimbali wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam katika uzinduzi wa simu hizo. Kushoto ni Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga.
Meneja wa Vifaa na Intaneti kutoka Tigo, Mkumbo Myonga, akizungumza katika mkutano huo.
Wanahabri kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa ya uzinduzi...
10 years ago
VijimamboWananchi wazidi kumiminika Banda la Mambo ya Nje Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO, HUAWEI WAZINDUA SIMU YA WATU WA HALI YA CHINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPLMGOMO WA MABASI, DALADALA WAZIDI KUTIKISA DAR
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Majeruhi wa moto wazidi kupoteza maisha Dar