WANANCHI WA MJI KOROGWE WAUPOKEA KWA KISHINDO MPANGO WA TIKA, WACHANGIA MIL. 1.3
![](http://2.bp.blogspot.com/-KhqNKWjIQfc/UzZHAhBM9rI/AAAAAAAA4HM/NvaHS-gKQK4/s72-c/NHIF+1b.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa akifungua mkutano wa siku ya wadau wa Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA) ambapo Lengo la mkutano huo ilikuwa ni kuchukua maoni yao na kuwaeleza jinsi TIKA inavyofanya kazi. Kikao hicho kimefanyika leo Machi 28, 2014 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Pembeni ni Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mheshimiwa Mrisho Gambo (kushoto) na Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole, Mheshimiwa Angello...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A7_xCbvQWek/UznO3xwlMFI/AAAAAAAA4NQ/zZKp1X4NfVA/s72-c/NHIF+1.jpg)
BARAZA LA MADIWANI LA MJI KOROGWE LAUPOKEA KWA MIKONO MIWILI MPANGO TIBA KWA KADI (TIKA)
![](http://1.bp.blogspot.com/-A7_xCbvQWek/UznO3xwlMFI/AAAAAAAA4NQ/zZKp1X4NfVA/s1600/NHIF+1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qXx-NEk1yUk/UzHocd6jx6I/AAAAAAAA35Y/K3hoKU-mWZU/s72-c/IMG_2413.jpg)
UZINDUZI WA MCHAKATO WA KUANZISHA TIKA (TIBA KWA KADI) KATIKA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-qXx-NEk1yUk/UzHocd6jx6I/AAAAAAAA35Y/K3hoKU-mWZU/s1600/IMG_2413.jpg)
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-qXx-NEk1yUk/UzHocd6jx6I/AAAAAAAA35Y/K3hoKU-mWZU/s1600/IMG_2413.jpg)
UZINDUZI WA MCHAKATO WA KUANZISHA TIKA (TIBA KWA KADI) KATIKA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-M1M-VB-2FF0/UzLTenGlkHI/AAAAAAAA3-c/qNIk002_opc/s1600/NHIF+3.jpg)
KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII YA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE YAPITISHA MPANGO WA TIBA KWA KADI
10 years ago
Dewji Blog21 Mar
Tanzania Distilleries Wachangia Mil 10 Imetosha Foundation
![Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'Konyagi', David Mgwassa (wa pili kushoto)akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0194.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited ‘Konyagi’, David Mgwassa (wa pili kushoto) akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari leo kuzungumzia matembezi ya hisani na kupokea ahadi ya sh milioni 10 kutoka Tanzania Distilleries Limited.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0171.jpg)
Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu akizungumza na waandishi wa habari leo kuzungumzia matembezi ya hisani na kupokea ahadi ya sh milioni 10 kutoka Tanzania Distilleries Limited.
![Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited 'Konyagi', David Mgwassa akizungumza alipokuwa akitoa ahadi ya kampuni hiyo kuchangia shilini milioni 10 kuunga mkono Imetosha Foundation na kampeni yake ya kupinga mauaji ya watu wenye ualbino.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0198.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji...