Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANANCHI WALALAMIKIA DAMPO MAENEO YA MAKAZI

Picha za matukio katika eneo la Mto Msimbazi Tabata panapomwagwa takataka. BAADHI ya wakazi wa Tabata Msimbazi jijini Dar es Salaam, wamelalamikia kitendo cha dampo lililokuwa eneo la Vingunguti kuhamishiwa katika makazi yao. Wakizungumza na GPL, raia hao wamesema dampo hilo lilikuwa limefungwa kwa muda sasa wanashangaa kuona takataka zikizolewa na kutupwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Serikali yaagiza Anuani za makazi mpaka maeneo yasiyopimwa

SERIKALI imeagiza Mpango wa utoaji wa vibao vya anuani za makazi na postikodi kuhakikisha unatoa majina kwa mitaa yote, ikiwamo maeneo yasiyopimwa pamoja na barabara zote nchini kuoneshwa wazi kwa kuandikwa.

 

9 years ago

Mtanzania

Wananchi walalamikia polisi K’njaro

Na Upendo Mosha,Moshi

WANANCHI mkoani Kilimanjaro, walitupia lawama jeshi la polisi mkoani humo kwa kushindwa kudhibiti wimbi la uporoaji wa kutumia silaha na mauaji.

Hatua hiyo, imekuwa siku chacha tu,baada ya mauaji ya mfanyabishara maarufu mjini Moshi, Josephat Mahalo (36) maarufu kwa jina la Tajiri mtoto.

Wakizungumza na MTANZANIA  kwa nyakati tofauti  juzi mjini Moshi,wamesema matukio ya uhalifu yameendelea kushika kasi maeneo mbalimbali ya mkoa  huo tofauti na miaka ya hivi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha

WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi Mwanga walalamikia operesheni ya polisi

Moshi. Kamatakamata ya watu wanaoshukiwa kuiba mabomba ya maji nyumbani kwa Waziri mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, imeibua malalamiko miongoni mwa wakazi wa Wilaya ya Mwanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi Dumila ‘walilia’ makazi

Waathirika wa mafuriko eneo la Dumila mkoani Morogoro wameiomba Serikali kuharakisha kuwapatia makazi ya kudumu ili waweze kuendelea na shughuli zao kama ilivyokuwa awali.

 

10 years ago

Michuzi

MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 10,000 ZA MAKAZI YA WATUMISHI WA SERIKALI NA WA UMMA WAANZA KATIKA MAENEO MBALI MBALI NCHINI

Mhandisi Edwin Nnunduma toka wakala wa amajengo Tanzania (TBA)akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa nyumba mbili zinajengwa katika kila mkoa kwa ajili ya makazi ya majaji wakati wa ziara ya waandishi hao iliyolenga kujionea hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo. Moja ya jengo la kisasa lenye gorofa 4 lililopo Mbezi beach Dar es salam litakalopangishwa kwa watumishi wa Umma,jengo hilo liko katika hatua za mwisho kabla kuanza kupangishwa ili...

 

9 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIJIJI CHA SHENDA WILAYANI GEITA WALALAMIKIA UCHAFU ULIOTUPWA TAREHE 9 DISEMBA

Krantz Mwantepele,Geita
Wananchi wa kijiji cha Shenda katika kata ya Masumbwe wilayani Mbogwe mkoani Geita Wameitaka ofisi ya mkurugenzi wa halmashauri ya Mbogwe kuziondoa takataka zilizowekwa kijijini kwao kufuatia zoezi la usafi la December 9 Lililofanyika nchi nzima.
Wakiongea na waandishi wa habari za mtandaoni wananchi hao wanakijiji hao wamesema kuwa wanashangazwa na kitendo cha halmashauri ya wilaya kutupa takataka katika kijiji chao licha ya kwamba hakuna dampo la uchafu eneo...

 

9 years ago

StarTV

Baadhi ya wananchi wakosa makazi kutokana Mafuriko Mara

Mvua kubwa imenyesha mjini Bunda mkoani Mara na kusababisha mafuriko  yaliyoharibu mali za wananchi, chakula na samani za ndani.

Mvua hiyo iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja majira ya alasiri imesababisha hasara kubwa kwa wakazi  wa Mji huo, kwani baadhi ya wananchi wamekosa mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka.

Mvua hiyo imeleta hasara kubwa katika karibu mitaa yote ya Mji wa Bunda, ambapo katika mitaa ya Kabarimu, majengo, Nyasura na mbugani mafuriko hayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani