Wanasiasa wamchefua Waziri
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid jana aliziponda kauli za wanasiasa wanaosema wakipata uongozi watafanya elimu, maji, matibabu na hata umeme kuwa wa bure.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
VISHOKA UHAMIAJI WAMCHEFUA WAZIRI SIMBACHAWENE, WASAKWE POPOTE WALIPO

10 years ago
Habarileo10 Aug
Simba wamchefua kocha
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya SCVilla ya Uganda juzi, hajafurahishwa na kiwango cha wachezaji wake.
10 years ago
GPL
MAMISS MORO WAMCHEFUA MEYA WA DAR
Na Danstan Shekidele/Risasi Mchanganyiko
ONESHO la burudani ya warembo lililoitwa Miss Valentine, lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Vybe mjini hapa kusherehekea siku hiyo ya wapendanao, liligeuka kuwa kichefuchefu mbele ya aliyekuwa mgeni rasmi, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Didas Masaburi. Mrembo akipita jukwaani katika onesho la burudani ya warembo lililoitwa Miss Valentine huko Morogoro. Mmoja wa...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Uuzwaji ardhi kinyemela jimboni Monduli wamchefua Lowassa
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa ameagiza kuondolewa madarakani mara moja viongozi Serikali za vijiji watakaobainika, kuuza ardhi za vijiji “kinyemelaâ€, katika Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania