Wanawake ‘walia’ na rushwa kortini
 Mtandao wa rushwa kwa baadhi ya mahakama nchini, umeelezwa kuwa moja kati ya changamoto na kikwazo kikubwa katika harakati za upatikanaji haki za wanawake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 May
Wabunge walia na rushwa ofisi za umma
KUKOSEKANA kwa Sheria ya kutenganisha biashara na uongozi ili kuweka nidhamu kwa viongozi wa umma kumesababisha kuwepo na mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa viongozi hao, ambao wamekuwa wakitumia ofisi za umma kwa maslahi binafsi, hivyo kufanya vitendo vya rushwa kukithiri.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Rushwa ya nyama yamfikisha kortini
MKAGUZI wa nyama katika machinjio ya Mitunduruni, Manispaa ya Singida, Edwin Mtae, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida kwa tuhuma za kupokea rushwa ya kilo 12 za...
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Waandishi kortini kwa rushwa
WAANDISHI wawili wa habari wa Kampuni ya New Habari (2006), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na kosa la kupokea rushwa ya sh.150,000 kutoka kwa mmiliki na Chuo...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Hakimu, mtendaji kortini kwa rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Bunda, Mara imemfikisha mahakamani Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Kibara A, Witness Lameck (38) kwa tuhuma ya kuomba na kupokea rushwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Hakimu, karani kortini kwa rushwa ya 50,000/-
NA SYLVIA SEBASTIAN
HAKIMU wa Mahakama ya Mwanzo Buguruni, Dar es Salaam, Grace Kivelege na karani wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Ilala, kujibu mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya sh. 50,000.
Hakimu Grace na Karani Rose Kuhima, walifikishwa mahakamani hapo jana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Wakili wa TAKUKURU, Devota Mihayo, aliwasomea washitakiwa hao mashitaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Mkurugenzi wa Wizara ya Afya kortini kwa tuhuma za rushwa
10 years ago
BBCSwahili10 Mar
Wanawake wa Nyeri walia na Nyani
5 years ago
MichuziTAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAMBURUZA KORTINI DAKTARI KWA TUHUMA YA RUSHWA
Na Godwin Myovela, Singida.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoa wa Singida imemburuza mahakamani Dkt. Abdul Sewando wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida (Mandewa) akituhumiwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya Mwaka 2007.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana kwenye ofisi za PCCB, Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI MWENYEKITI WA SOKO KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa Takukuru mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu, Juni 9 mwaka huu, Songelaeli ameshtakiwa kwa kosa la kutoa rushwa ya shilingi 407,000 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Yefred...