Rushwa ya nyama yamfikisha kortini
MKAGUZI wa nyama katika machinjio ya Mitunduruni, Manispaa ya Singida, Edwin Mtae, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Singida kwa tuhuma za kupokea rushwa ya kilo 12 za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI MWENYEKITI WA SOKO KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Fu4MiRv518/Xt_U6_NZMlI/AAAAAAALtOc/bw3t1Bl9NWQgM9fr2r4l8ATey9XSPjkHgCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa Takukuru mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu, Juni 9 mwaka huu, Songelaeli ameshtakiwa kwa kosa la kutoa rushwa ya shilingi 407,000 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Yefred...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAMFIKISHA KORTINI AFISA BIASHARA SIMANJIRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-lfge1iwbuug/XuC4sLsNVeI/AAAAAAALtUs/tYxh5iAE2TsuxAShis_n0uW6YcCKyYEHgCLcBGAsYHQ/s200/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Mkuu wa TAKUKURU Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu washtakiwa hao walisomewa mashtaka hayo na wakili wa TAKUKURU...
11 years ago
Habarileo03 Mar
Sakata la wauza nyama na TFDA kortini
SAKATA la wauza nyama kufungiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa (TFDA) pamoja na Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, sasa limefika mahakamani. Limefikishwa huko baada ya manispaa hiyo kuwashitaki wale wanaokwenda kinyume na maelekezo ya mamlaka hiyo.
10 years ago
Habarileo09 Jan
Nyama ya mbuzi yamkwama kooni, afa, mke aburuzwa kortini
MKAZI wa kijiji cha Nakachindu kata ya Mkundi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani hapa, Asumini Bakiri (39) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji linalomkabili la kumuua mumewe, Simoni Simoni (45).
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Wanawake ‘walia’ na rushwa kortini
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Waandishi kortini kwa rushwa
WAANDISHI wawili wa habari wa Kampuni ya New Habari (2006), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha wakikabiliwa na kosa la kupokea rushwa ya sh.150,000 kutoka kwa mmiliki na Chuo...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Hakimu, mtendaji kortini kwa rushwa
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Bunda, Mara imemfikisha mahakamani Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Kibara A, Witness Lameck (38) kwa tuhuma ya kuomba na kupokea rushwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Hakimu, karani kortini kwa rushwa ya 50,000/-
NA SYLVIA SEBASTIAN
HAKIMU wa Mahakama ya Mwanzo Buguruni, Dar es Salaam, Grace Kivelege na karani wake, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya Ilala, kujibu mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa ya sh. 50,000.
Hakimu Grace na Karani Rose Kuhima, walifikishwa mahakamani hapo jana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Wakili wa TAKUKURU, Devota Mihayo, aliwasomea washitakiwa hao mashitaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma...
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Mkurugenzi wa Wizara ya Afya kortini kwa tuhuma za rushwa