Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wana uwezo mkubwa kiuongozi

WAKATI kila Mtanzania anajiuliza ni nani atamrithi Rais Jakaya Kikwete katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka  2015, kuna mapendekezo yanayojitokeza kwamba sasa ni zamu ya kina mama kuliongoza taifa letu. Wengine...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kikwete ajivunia kuwawezesha wanawake kiuongozi, kiuchumi

Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya mambo atakayojivunia baada ya kustaafu ni namna alivyotengeneza mazingira ya uwezeshwaji wa wanawake kujikwamua kiuchumi na kuondokana na mfumo kandamizi.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI KUENDELEA KUTOA VIPAUMBELE KWA WANAWAKE KIUCHUMI, KIELIMU NA KIUONGOZI





Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake kitafa akibonyeza kitufe katika kompyuta mpakato kwa ajili ya kupinga king'ora ili kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho hayo jana ( Machi 6) ambayo kilele chake ni machi 8, mwaka huu ,katika uwanja wa Jamhuri wa Morogoro ( anayepiga makofi) ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana ( kulia) ni Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa ,...

 

10 years ago

Mwananchi

Bwire: Walimu wa Kitanzania wana uwezo kuliko wageni

Miongoni mwa shule ambazo zimefanya vizuri kitaifa, ni Shule ya Msingi ya Alliance iliyoko Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza. Imeshika nafasi ya nne katika mtihani wa kuhitimu darasa la saba, mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Siasa za Tazania: Je, CCM wana uwezo gani wa kuhimili migogoro?

Vigogo watatu wa CCM Bernard Membe, Yusuf Makamba na Abdulrahman Kinana kwa sasa wapo kwenye 'kitimoto'

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto waliokulia familia korofi wana uwezo wa kukabili matatizo ya kimaisha

Agatha na mumewe Jackob wanaishi katika nyumba ya kupanga ambayo kila mwezi wanatakiwa kulipa bili ya umeme kwa zamu, cha kushangaza Jackob anapokosa fedha hiyo hachanganyikiwi wala kuona aibu kusema sina.

 

10 years ago

Mwananchi

UBONGO: Njia zinazohamasisha mtu awe na uwezo mkubwa kiakili

Yapo mambo ambayo ubongo wa binadamu unatakiwa kuyafanya kwa ufanisi ili mtu aonekane kuwa ana akili.

 

10 years ago

Raia Mwema

Watanzania walio nje wana mchango mkubwa wakipewa fursa

AGOSTI 13 mpaka 15 ya mwaka huu, kutakuwa na kongamano kubwa litakalowakutanisha Watanzania waish

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Dewji Blog

Abdulmaliki Mollel: Wanafunzi wanaosoma nje ya nchi wana uwigo mkubwa wa kuajirika

Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL), Abdulmaliki Mollel.

Na Mwandishi Wetu, Arusha.

VITU vinavyofanya wanafunzi kwenda kusoma nje ya nchi ni kutokana kozi wanayoenda kusoma zina uwigo mkubwa wa ajira ambapo vyuo vya ndani havina kozi hizo.

Akizungumza na katika kongamano la saba la vyuo vikuu la kujadili mstakabali wa elimu nchini, lililofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL), Abdulmaliki Mollel amesema kuwa wanafunzi kwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani