WANAWAKE WANAVYO-SHAMBULIWA NA U.T.I - 2
![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-YeO9PgFvc74VMJkGOTSOxepNUk7oTL-GunZuxK59sNT0bnfYWpWIzRJ5cuWEu6jwytDx02q6y5031DK4jzTYJ/UTI.jpg?width=650)
Leo tunaendelea kueleza dalili za UTI na tiba yake pia tutatoa ushauri. DALILI Unaweza kugundua kuwa una UTI kwa kuona dalili zifuatazo. Kujisikia maumivu au mkojo unachoma wakati wa kukojoa, kujisikia kukojoakojoa mara kwa mara na ukienda haja ndogo mkojo hautoki au unatoka kidogo sana. Dalili nyingine ni mkojo kuwa na rangi ya mawingu au mweusi na kuwa unatoa harufu mbaya, kujisikia maumivu chini ya kitovu au maumivu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper17 May
Uwanja wa ndege wa shambuliwa
KABUL, Afghanistan
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko katika uwanja wa ndege wa kimataifa uliopo mjini Kabul.Mashuhuda wa tukio hilo walisema mtu mmoja alijitoa mhanga kwa kujilipua ambapo aliwalenga wanajeshi wa kimataifa nje ya lango kuu la uwanja huo.
Lango hilo hutumiwa na vikosi vya kijeshi vya kigeni, ambapo bado haijabainika endapo walinusurika na shambulio hilo.
Msemaji wa polisi alisema, shambulio hilo lilifanyika karibu na ofisi za safari...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Ccm wawewe seka ,kila wanavyo fanya ziro
Chanzo Julius S.Mtatiro Kama alivyoeleza KUHUSU MKUTANO WA UKAWA JANGWANI, Kuna barua inazunguka mitandaoni inadaiwa kuwa ni ya Mkurugenzi wa manispaa ya Ilala akidai kuzuia UKAWA kuzindulia kampeni zake uwanja wa Jangwani kwa sababu kuna shughuli […]
The post Ccm wawewe seka ,kila wanavyo fanya ziro appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
MichuziDC MBONEKO AONGOZA MAMIA YA WANAWAKE KONGAMANO LA WANAWAKE 'SHINYANGA WOMEN'S DAY OUT'
5 years ago
MichuziWANAWAKE TUME YA MAENDELEO YA USHIRIKA (TCDC) WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Picha ya Pamoja ya Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa tayari kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Jijini Dodoma
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa na Bango la maandamano lenye Kauli mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika wakiwa katika maandamano...
10 years ago
GPLWANAWAKE WA MCD WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA AINA YAKE
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Wanawake wa MSD washerehekea siku ya wanawake duniani kwa aina yake
Bw. Mwaifani akimkaribisha mgeni rasmi wa sherehe hizo, Bi.Helen Mwakipunda ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.
Bi. Mwakipunda akizungumza na wafanyakazi wa (MSD) wakati wa sherehe hizo.
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya akina mama kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Matlida Ngarina aliyealikwa kwa ajili ya kutoa mada kuhusiana na magonjwa ya...
10 years ago
MichuziWanawake Wizara ya Mambo ya Nje washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
11 years ago
MichuziWanawake Mambo ya Nje washiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani