Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ccm wawewe seka ,kila wanavyo fanya ziro

Chanzo Julius S.Mtatiro Kama alivyoeleza KUHUSU MKUTANO WA UKAWA JANGWANI, Kuna barua inazunguka mitandaoni inadaiwa kuwa ni ya Mkurugenzi wa manispaa ya Ilala akidai kuzuia UKAWA kuzindulia kampeni zake uwanja wa Jangwani kwa sababu kuna shughuli […]

The post Ccm wawewe seka ,kila wanavyo fanya ziro appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WANAWAKE WANAVYO-SHAMBULIWA NA U.T.I - 2

Leo tunaendelea kueleza dalili za UTI na tiba yake pia tutatoa ushauri.
DALILI
Unaweza kugundua kuwa una UTI kwa kuona dalili zifuatazo. Kujisikia maumivu au mkojo unachoma wakati wa kukojoa, kujisikia kukojoakojoa mara kwa mara na ukienda haja ndogo mkojo hautoki au unatoka kidogo sana. Dalili nyingine ni mkojo kuwa na rangi ya mawingu au mweusi na kuwa unatoa harufu mbaya, kujisikia maumivu chini ya kitovu au maumivu...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

“Ziro” zitakwisha lini sekondari za Kata?

Ni takriban miaka 10 sasa tangu kuanzishwa kwa shule za kata hapa nchini kupitia mpango kabambe uitwao “Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari (MMES). Msisitizo mkubwa uliwekwa na Serikali kuhakikisha majengo yanajengwa hata kama hakuna mwanafunzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ZIRO VVU; Mkakati wa kutokomeza maambukizi kwa watoto

“TANZANIA bila ukimwi inawezekana.” Msemo huu umekuwa ukisemwa sana na Rais Jakaya Kikwete katika hotuba zake. Si yeye pekee, bali pia viongozi, asasi na mashirika mbalimbali yaliyojitika kwenye mapambano dhidi...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Natazamwa na CCM kila kona

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema anashindwa kujitokeza kuzungumzia au kufanya mambo yanayohusiana na urais kwa kuwa Kamati ya Maadili ya CCM inamfuatilia kwa karibu.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM watuhumiana kwa unafiki kila kona

Baada ya upepo wa Uchaguzi Mkuu kuanza kutulia, baadhi ya makada wa CCM wameanza kutuhumiana kuwa unafiki na hujuma zilizofanywa na baadhi ya wanancha wa chama hicho zimesababisha kishindwe kufanya vizuri katika baadhi ya maeneo kwa ngazi za udiwani na ubunge.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yang’ara kila kona, Chadema yafuatia

Ushindi wa CCM.MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika kote nchini juzi, yameanza kutangazwa huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiongoza katika maeneo mengi na kufuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 

9 years ago

Habarileo

CCM yakanusha suala la ‘laptop’ kwa kila mwalimu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetolea ufafanuzi suala la Mgombea Urais kupitia chama hicho, Dk John Magufuli kumpa kila mwalimu kompyuta mpakato (Laptop) endapo atashinda katika uchaguzi mkuu.

 

9 years ago

Habarileo

Wazazi CCM wagawa ardhi kwa kila kata

JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, imezigawia Jumuiya zake za kata ardhi yenye ukubwa wa hekari moja kwa lengo la kuziendeleza kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani