Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake wawili wajitoa muhanga Nigeria

Watu 19 wapoteza maisha kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya Wanawake wawili kujitoa muhanga

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake 2 wajitoa mhanga Nigeria

Wanawake wawili washambuliaji wa kujitoa mhanga wamewaua watu watatu kwenye shambulizi katika mji wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi FIFA,wawili wajitoa

Wagombea wawili kati ya wanne waliojitokeza kuwania urais wa shirikisho la vyama vya Soka Duniani FIFA wamejitoa katika kinyang'ang'anyiro hicho.

 

5 years ago

Michuzi

KABUDI AWATAKA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUJITOA MUHANGA KWA MASLAHI YA NCHI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hazina jijini Dodoma tarehe 14 Machi, 2020. Pamoja na mambo mengine, Mhe. Prof. Kabudi amewataka Wafanyakazi wa Wizara hiyo kutekeleza majukumu yao kwa kujituma na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge...

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE WAWILI WAJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS CCM ZANZIBAR,MAKADA WAFIKIA 26

-WALIOREJESHA FOMU WAFIKIA WANNE

NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.

WANAMAMA wawili  wamejitokeza leo 24 Juni kuchukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar  kupitia tiketi ya Chama  Cha Mapinduzi CCM.

Mwanamama wa kwanza ni Husna Attai Masoud aliwasili viwanja vya Afisi Kuu ya CCM -Zanzibar  zilizopo eneo la  Kisiwandui majira ya saa Nne akiwa amesindikizwa na wapambe wake watano wote  Wanamama akiwemo dereva aliyewaendesha na

kisha kupanda hadi gorofa ya pili kwa Katibu wa Idara ya Organization...

 

5 years ago

BBCSwahili

Hauwa Ali Mariri: Mwanamke aliyeolewa na wanaume wawili Nigeria

Mgogoro mkali wa kimapenzi umeibuka katika jimbo la Kano nchini Nigeria ambapo wanaume wawili walimuoa mwanamke mmoja wakati tofauti.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ilikuwaje binti huyu kutoka Nigeria akaolewa na wanaume wawili?

Sakata ya mapenzi inaendelea katika jimbola Kaskazini Nigeria la Kano, ambapo wanaume wawili walioa mwanamke mmoja katika matukio mawili tofauti.

 

9 years ago

Bongo5

Msanii wa Nigeria Runtown awataja wasanii wawili wa Tanzania anaowakubali zaidi

Mwimbaji kutoka Nigeria, Runtown ametua jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo (Oct.9) tayari kulipamba jukwaa la fainali ya shindano la kusaka vipaji Bongo Star Search (BSS) itakayofanyika Ijumaa (Oct.9). Kama ambavyo wasanii wetu wanafuatilia kwa karibu muziki wa Nigeria, Runtown pia anafatilia muziki wa Bongo. Katika mahojiano mafupi na Fahamu Tv, Runtown amewataja […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani