Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi FIFA,wawili wajitoa

Wagombea wawili kati ya wanne waliojitokeza kuwania urais wa shirikisho la vyama vya Soka Duniani FIFA wamejitoa katika kinyang'ang'anyiro hicho.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wawili wajitoa muhanga Nigeria

Watu 19 wapoteza maisha kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya Wanawake wawili kujitoa muhanga

 

10 years ago

Michuzi

LHRC WAJITOA KUFANYA UANGALIZI UCHAGUZI WA JUMAPILI KWA NJIA ZA KISASA,TIZAMA WATAKAVYOFANYA KAZI HAPA

Mkuu wa dawati la uangalizi wa chaguzi na bunge LHRC KHAMIS MKINDI akizungumza na wnahabari juu ya mfumo huo ambao watautumia katika uchaguzi huo unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa wiki huu siku ya jumapili

Na Exaud mtei
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania uchaguzi unaotarajiwa kufanyika siku ya jumapili ya mwisho wa wiki hii,kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC leo kimetangaza kufanya uangalizi wa uchaguzi huo kwa njia ya TEHEMA yaani ICT-election monitoring katika mikoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF: Uchaguzi wa FIFA uendelee mbele

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limendekeza uchaguzi wa urais wa shirikisho la soka duniani FIFA uendelee mbele kama ulivyopangwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA kuendelea mbele na uchaguzi wa urais

Kamati kuu ya FIFA imeamua kuwa uchaguzi wa urais kumrithi Sepp Blatter utaendelea mbele mwezi februari mwakani

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA kupanga tarehe ya uchaguzi wa rais

Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter na bodi ya utawala ya shirikisho hilo pamoja na viongozi wengine wa juu wa shirikisho hilo wanakutana leo kupanga tarehe ya uchaguzi wa rais wa shirikisho hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

FiFa:Mwana mfalme ataka uchaguzi uharakishwe

Mgombea wa urais katika shirikisho la soka duniani Fifa mwana mfalme Ali Bin al-Hussein anasema kuwa kucheleweshwa kokote kwa uchaguzi wa kumteua mrithi wa Sepp Blatter kutaliyumbisha shirikisho hilo zaidi.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA RAIS WA FIFA KUFANYIKA LEO USWISI

Rais wa FIFA Sepp Blatter (kushoto) na mpinzani wake Ali bin Hussein wa Jordan. Ali Bin Al Hussein.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani