Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA kuendelea mbele na uchaguzi wa urais

Kamati kuu ya FIFA imeamua kuwa uchaguzi wa urais kumrithi Sepp Blatter utaendelea mbele mwezi februari mwakani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

CAF: Uchaguzi wa FIFA uendelee mbele

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limendekeza uchaguzi wa urais wa shirikisho la soka duniani FIFA uendelee mbele kama ulivyopangwa.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakitia sign ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka […]

The post Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25 appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

BBCSwahili

Qatar leo kujibu masuali mbele ya FIFA

Mchunguzaji aliyeteuliwa na Fifa Michael Garcia hii leo atawahoji maafisa wa Qatar wanao simamia maandalizi ya Kombe la Dunia.

 

10 years ago

GPL

NIMEJIUNGA NA ACT ILI KUENDELEA KUWEKA MBELE MASLAHI YA TAIFA - ZITTO KABWE

Zitto akiongea na wanahabari leo katika ukumbi wa mikutano ndani ya Hoteli ya Serena, Dar. Maelezo ya Ndugu Zitto Kabwe aliyoyatoa katika Mkutano na Waandishi wa Habari kufuatia Kung’atuka Ubunge na Kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo Jumapili, 22 Machi 2015, Serena Hoteli, Dar es Salaam Ndugu Waandishi wa habari, wanachama na wapenzi wa ACT-Wazalendo na wote mliohudhuria mkutano huu, Kama mnavyojua siku ya Ijumaa tarehe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi S/Mitaa kusogezwa mbele

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema anakusudia kumwomba Rais Kikwete kusogeza mbele Uchaguzi wa serikali za mitaa hadi mwakani wakati Bunge la Katiba litakapokamilisha kazi yake.

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI TASWA WASOGEZWA MBELE

UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), uliokuwa umepangwa kufanyika Februari 16 umesogezwa mbele kwa wiki mbili na sasa utafanyika Machi 2, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Uamuzi wa kusogeza mbele tarehe ya kufanyika uchaguzi huo imechukuliwa na Sekretarieti ya TASWA kutokana na sababu mbalimbali, lakini kubwa ni kutoa nafasi kwa wanachama wengi zaidi kulipia ada zao kwa ajili ya kushiriki mkutano huo wa uchaguzi.
Hadi kufikia leo mchana idadi ya...

 

9 years ago

Vijimambo

MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA

DONALD TRUMP
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani