Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi S/Mitaa kusogezwa mbele

Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema anakusudia kumwomba Rais Kikwete kusogeza mbele Uchaguzi wa serikali za mitaa hadi mwakani wakati Bunge la Katiba litakapokamilisha kazi yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

JK: Uchaguzi serikali za mitaa kusogezwa

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amesema uchaguzi wa serikali za mitaa ambao ulikuwa ufanyike mwezi Oktoba mwaka huu, huenda ukasogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa mchakato wa rasimu ya mabadiliko ya Katiba.

 

5 years ago

Michuzi

GAMBO WENYEVITI WA MITAA VIJIJI TEMBEENI KIFUA MBELE KWA KUJIAMINI

Na Ahmed Mahmoud ArushaViongozi wa mitaa,vijiji na kata fanyenikazi kwa kujiamini bila woga kwa kuwa utaratibu wa Serikali unaanzia ngazi hiyo ili muweze kutatua na kushughulika na shida za wananchi.
Aidha Mkoa wa Arusha unaweza kudhibiti vitendo vya kiuhalifu kwa raia iwapo viongozi kuanzia ngazi ya mtaa wataweza kuwajibika kwa nafasi zao kutekeleza majukumu ya kulinda usalama wa maeneo yao kwa kufichua wahalifu na vitendo vya kihalifu.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo...

 

11 years ago

Michuzi

TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014

 Mwenyekiti wa Kikundi Kazi cha Serikali za Mitaa kilicho chini ya Taasisi ya Policy Forum,Bw. Hebron Mwakageda (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji kufanyika mwaka huu.Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Policy Forum,Bw. Israel Ilunde akifafanua jambo wakati mkutano huo na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutoa tamkoa lao la Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotaraji...

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI TASWA WASOGEZWA MBELE

UCHAGUZI Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), uliokuwa umepangwa kufanyika Februari 16 umesogezwa mbele kwa wiki mbili na sasa utafanyika Machi 2, mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Uamuzi wa kusogeza mbele tarehe ya kufanyika uchaguzi huo imechukuliwa na Sekretarieti ya TASWA kutokana na sababu mbalimbali, lakini kubwa ni kutoa nafasi kwa wanachama wengi zaidi kulipia ada zao kwa ajili ya kushiriki mkutano huo wa uchaguzi.
Hadi kufikia leo mchana idadi ya...

 

10 years ago

Michuzi

NEC:UCHAGUZI MKUU HAUTASOGEZWA MBELE

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Manunuzi na Logistic,Gregory Kaijage na kushoto ni Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya  Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama),Sisti Chriati. Baadhi ya wandishi wa Habari waliohudhuria katika mkutano wa habari wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  jijini Dar es Salaam leo.  (Picha na Avila...

 

10 years ago

Michuzi

UCHAGUZI MKUU HAUTASOGEZWA MBELE - NEC

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema uchaguzi mkuu utafanyika kama ulivyopangwa na haiwezi kufanya uchaguzi huo usogezwe mbele kutokana na suala hilo kuwa la kikatiba.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa wanasiasa wamekuwa na kauli ambazo zinawafanya wananchi wapate hofu wakati suala hilo kuhairisha uchaguzi halipo katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF: Uchaguzi wa FIFA uendelee mbele

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limendekeza uchaguzi wa urais wa shirikisho la soka duniani FIFA uendelee mbele kama ulivyopangwa.

 

10 years ago

GPL

NEC: UCHAGUZI MKUU HAUTASOGEZWA MBELE

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Manunuzi na Logistic, Gregory Kaijage na kushoto ni Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), Sisti Chriati.

Baadhi ya Wandishi wa habari waliohudhuria katika mkutano wa habari wa Tume ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Burundi yatakiwa kusogeza mbele uchaguzi

Burundi's President Pierre NkurunzizaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

JUMUIYA ya Nchi za Afrika Mashariki (EAC), zimeitaka Burundi kusogeza mbele muda wa uchaguzi kwa mwezi mmoja na nusu ili kurejesha hali ya usalama nchini humo.

Uamuzi huo umefikiwa jana jijini Dar es Salaam na kusomwa na Katibu Mkuu wa EAC, Dk. Richard Sezibera kwa niaba ya wakuu wa nchi za Afrika Mashariki, akisema utasaidia kupunguza vurugu zilizokuwa zikiendelea nchini humo.

Burundi ilikuwa imepanga kufanya uchaguzi wa wabunge wiki ijayo na wa rais Juni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani