Wanne mbaroni mauaji ya kigogo Chadema
Polisi mkoani Geita wanawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Mwenyekiti wa Chadema mkoani humo, Alphonce Mawazo (pichani).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Kigogo mbaroni kwa mauaji ya albino
NA PETER FABIAN, MWANZA
KIONGOZI wa chama kimoja cha siasa mkoani Mwanza (jina tunalo) anashikiliwa na Jeshi la Polisi akihusishwa na uhalifu wa utengenezaji wa noti bandia, utekaji na mauaji ya albino katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA kutoka vyanzo vyetu vya habari zimesema kuwa kigogo huyo alikamatwa wilayani Magu Februari 26, mwaka huu saa 7:00 usiku.
Kigogo huyo ambaye anadaiwa kuhusishwa na utekaji wa mauaji ya albino alikamatwa baada...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X5cEWyIi6Mg/VOG8lwv6ASI/AAAAAAAHD8I/YDxf_YNAaZ8/s72-c/ddm.jpg)
MAJAMBAZI WANNE (4) MBARONI KWA MAUAJI MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-X5cEWyIi6Mg/VOG8lwv6ASI/AAAAAAAHD8I/YDxf_YNAaZ8/s1600/ddm.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata majambazi wanne (4) waliomuua ASHELI S/O MAGINA mwenye miaka 40, Msukuma, Mfanyabiashara/Mkulima wa Kijiji cha Bubutole kwa kumkata na mapanga kichwani na mikononi na kufariki papo hapo tukio lililotokea tarehe 11/02/2015 majira ya saa 02:00hrs usiku katika Kijiji cha Bubutole Kata ya Farkwa, Tarafa ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Wanne mbaroni kwa kuichagua CHADEMA
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kwa kushirikiana na uongozi wa Kijiji cha Nyamihundu Kata ya Nzihi kimewakamata vijana wanne kwa tuhuma za kukipigia kura Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBO3zmYTl-A/VPWi_eJ8SoI/AAAAAAAHHT4/LohOaahrfsY/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
WATU WANNE MBARONI AKIWEMO M/KITI WA KIJIJI CHA IHANDA WILAYANI KONGWA DODOMA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YAKIHUSISHA IMANI ZA KISHIRIKINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eBO3zmYTl-A/VPWi_eJ8SoI/AAAAAAAHHT4/LohOaahrfsY/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Watu watatu wameuawa Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti yanayohusisha imani za kishirikina.
Akizungumzia matukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 01/03/2015 majira ya saa 01:00hrs katika kitongoji cha Golani, kijiji cha Masinyeti, kata ya Iduo, tarafa ya Mlali Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYigzBIU5UtXa8XhmxA1O0MnZNtqvchgwBeQnZaKEV6fOXoqwhwnkfgMdpMsER-IEMwQ-U1mvRkjOAU-asYMpkqA/mke.jpg?width=650)
MKE WA KIGOGO MBARONI KWA WIZI WA MAGARI
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mkutano wa maji Goba wavunjika, watano mbaroni Kigogo
MKUTANO wa hadhara wa Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla na wakazi wa Goba wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam, ulivunjika jana kutokana na vurugu za wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPzp7pSszOTUWiPpY79luvz9h7qidIzuIN8VOaRLJzqkU9m3HaOdBQWs5JW*nmYr*WuPXEKBICQCYrM*7f55HIH6/MABINA.jpg?width=550)
MAUAJI YA KIGOGO WA CCM, MWANZA HAPAKALIKI
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wanne mbaroni kwa mihadarati
POLISI jijini Arusha imewakamata vijana wanne katika eneo la Elikyurei wilayani Arumeru wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 100 zenye thamani ya Sh milioni 10.
9 years ago
StarTV12 Oct
Watu wanne mbaroni Singida kwakuteka gari
Watu wanne wanashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuteka magari sita na kuwapora abiria na madereva mali na fedha taslimu vyote kwa pamoja vikiwa na thamani ya mamilioni.
Tukio hilo limetokea majira ya saa 3:30 usiku wa kuamkia jana katika eneo la njia panda barabara kuu ya kutoka na kuelekea Arusha ambapo miongoni mwa magari yaliyotekwa na watuhumiwa hao waliokuwa wakitumia silaha za jadi lilikuwa la Katibu Tawala wa mkoa wa Singida Phesto Kang’ombe.
Wanaoshikiliwa kuhusiana...