Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinga kamati za kata kupewa fedha

WANANCHI wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, wamepinga utaratibu wa serikali kupitisha fedha za miradi ya maendeleo kwenye Kamati za Maendeleo ya Kata (WDS), na kusema fedha hizo zinapaswa zipelekwe...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mnikulu: Sifahamu sababu za kupewa fedha na Rugemalira

Mnikulu Shaban GurumoMNIKULU Shaban Gurumo amekiri mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma, kwamba alipokea Sh milioni 80.8 kutoka kwa James Rugemalira na kuzitumia kwa matumizi yake binafsi, ingawa amekanusha kuomba fedha hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wahoji wizara kupewa fedha kiduchu

>Mjadala wa Kikao cha 12 cha Bunge la Bajeti jana ulitawaliwa na vilio vya kamati za Bunge na wabunge kuhoji sababu za Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto kupewa fedha kidogo ya maendeleo, huku Wizara ya Kazi na Ajira ikikosa kabisa fungu kutoka Hazina.

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MOROGORO MJINI ATOA WIKI MBILI KWA MTENDAJI WA KATA KURUDISHA FEDHA ZA WANANCHI

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akiongea Kwa Msisistizo Akimtaka Mtendaji wa Kata ya Luhungo Iliyopo Mzee Makame Kai Kurudisha Fedha za Wananchi wa Kata Hiyo Shilingi Milioni 1.4 Ndani ya Muda wa Wiki Mbili lasivyo atangulie Polisi.Mh Mbunge Ametoa Kauli Hiyo katiaka ziara yake aliyoifanya kata ya Luhungo Kwajili ya Kusikiliza Kero za wananchi na Ndipo wakazi wa Kata Hiyo walipotoa Malalamiko kwa Mbunge wao Kuhusu Utendaji Mbovu wa Mtendaji wa Kata Hiyo Aliyefahamika kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yagomea fedha za kununua ng’ombe

UPOTEVU wa ng’ombe kwenye ranchi za taifa umeilazimisha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kutoishauri Serikali kutoa fedha Sh bilioni 17 zilizoombwa na Kampuni ya Ranchi za Taifa (Narco) kwa ajili ya kuboresha miundombinu.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA YAWASILISHA RIPOTI YA KAMATI YA WATALAAM WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, UCHUMI, MIPANGO NA USHIRIKIANO WA KIKANDA WA NCHI WANACHAMA WA AU NA EAC, JIJINI ADDIS ABABA NCHINI ETHIO

Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini AddisAbaba –Ethiopia. Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na kamisheni...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA SERA YA FEDHA BOT YASHUSHA AHUENI KWA WATANZANIA KATIKA KUKABILIANA NA CORONA

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Prof. Florens Luoga


 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani