WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA KITUO CHA AFYA KIVUNGE, UNGUJA
Pichani juu na chini ni muonekano wa Jengo la kituo cha afya Kivunge Wilaya ya Kaskazini "A" visiwani Unguja kilichojengwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akikagua maeneo mbalimbali ya kituo hicho huku akiwa ameambatana na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (nyuma ya Alvaro) pamoja na Mtaalamu wa Mawasiliano na Mahusiano wa Umoja wa Mataifa nchini,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Waridhishwa na huduma za kituo cha afya Kivunge
Pichani juu na chini ni muonekano wa Jengo la kituo cha afya Kivunge Wilaya ya Kaskazini “A” visiwani Unguja kilichojengwa na Mashirika ya Umoja wa Mataifa.
Na Mwandishi wetu
BAADHI ya Wananchi wa Kijiji cha Kivunge Wilaya ya Kaskazini “A” wameelezea kuridhishwa kwao na huduma za afya zinazotolewa katika kituo kipya cha afya cha Kivunge.
Kituo hicho kimejengwa chini ya mradi wa Umoja wa Mataifa(UN) wa kuviwezesha vituo vya afya mbali mbali nchi ambapo kituo hicho kinatoa huduma mbali mbali...
10 years ago
MichuziMakamu wa Rais Dkt. Bilal azindua kituo cha Afya cha Ghana,Unguja leo
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s72-c/d1.jpg)
Balozi seif ali iddi afunguwa Kituo cha Afya Cha Pwani Mchangani Wilaya ya Kaskazini “A”, Unguja
![](http://1.bp.blogspot.com/-lFBJzLxu-gM/Uyh0dIgTmQI/AAAAAAAFUow/RVS0_i-cQds/s1600/d1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b8chuUQK6js/Uyh0dElrfOI/AAAAAAAFUo4/ZXzJP3EG1o4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wM2mDHdy_n0/Uyh0dToaYXI/AAAAAAAFUo0/egYnVbBVfxg/s1600/d6.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 May
Kituo cha Afya Ndago hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano
Jengo la kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba, Mkoani Singida ambacho licha ya kutokuwa na huduma za upasuaji, lakini vile vile kituo hicho hakina usafiri wa gari la wagonjwa kwa miaka mine sasa huku gari lililokuwa limepangiwa katika kituo hicho kutumiwa na watendaji wa wilaya hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
KITUO cha afya cha tarafa ya Ndago,wilayani Iramba,Mkoani Singida hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano sasa licha ya jengo la kutolea...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLHaYLSTIY/U5woyf0u2NI/AAAAAAACjaU/C-cPEAreLag/s72-c/1.jpg)
NHIF WAENDELEA KUSAIDIA HUDUMA KWENYE WODI YA AKINA MAMA NA WATOTO KITUO CHA AFYA MLANDIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-aJLHaYLSTIY/U5woyf0u2NI/AAAAAAACjaU/C-cPEAreLag/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aYfSmUsOq6U/U5woy76xYhI/AAAAAAACjaY/a1_m7g2VcUY/s1600/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Watoto Yatima wsa kituo cha Valentine Children Home wapatiwa huduma za upimaji wa afya zao bure!
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili akimpima afya mtoto Lovenes Masawe kulia ni nesi Mary Hongoli
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili mpima mtoto Nuru Edward wa kituo cha kulea watoto yatima cha Valentine children home kilichopo yombo buza kulia ni mtoto Clara Olimpia nae akihudumiwa na nesi Mary Hongoli
watoto waliojitokezwa...
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Miaka 17 ya Kituo cha Mazoezi cha Home Gym: kutembelea wodi ya wazazi Kituo cha Afya Sinza Palestina leo Sept 19
Kituo cha Mazoezi cha Home Gym…
Na Andrew Chale, modewjiblog
[Dar es Salaam-Tanzania]- Kuelekea miaka 17 ya tangu kuanzishwa kwa kituo cha Mazoezi cha Home Gym chenye maskani yake Mwenge jijini Dar es Salaam-Tanzania, uongozi wa kituo hicho unatarajia kufanya matukio makuu muhimu ikiwemo kutembelea wodi ya akina mama katika kituo cha Afrya cha Sinza Palestina Jijini.
Akizungumza na modewjiblog, Mkurugenzi wa kituo hicho, Andrew Mangomango amebainisha kuwa, kuelekea shughuli za miaka 17 za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s72-c/IMG_7153.jpg)
KINANA ASHTUSHWA NA MAKUSUDI YA WIZARA YA AFYA KUHUSIANA NA KITUO CHA AFYA CHA INYONGA,WILAYA YA MLELE-KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SI8U2lTUknM/U07VPJmdZZI/AAAAAAACfAk/AdyX9ld_PTY/s1600/IMG_7153.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VHIeKghZ0TQ/U07VRQykrMI/AAAAAAACfAs/bKc1G7bG9Xk/s1600/IMG_7164.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10