Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasifu wa Ariel Sharon, Mtu asiyejali.

" Barak hana haki ya kukata tamaa juu ya Jerusalem,ambayo watu walipokea kama urithi," Alisema bwana Sharon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ARIEL SHARON AFARIKI

Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ariel Sharon enzi za uhai wake. Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ariel Sharon amefariki dunia leo Januari 11, 2014.
Sharon, aliyekuwa Waziri Mkuu wa 11 wa taifa hilo la kiyahudi, alikuwa kiongozi wa chama cha Likud, lakini katika mzozo mkubwa ndani ya chama hicho kufuatia tofauti za kimtizamo kuhusu ukanda wa Gaza, alijitoa Novemba 2005 na kuanzisha chama chake cha Kadima akiwa bado...

 

11 years ago

BBCSwahili

Buriani Ariel Sharon

Ibaada maalum ya aliyekuwa waziri mkuu wa Israel Ariel Sharon imefanyika nje ya jengo la bunge la Israel, mjini Jerusalem

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel kumuaga Ariel Sharon

Maelfu ya watu nchini Israel wamekuwa wakitoa heshima zao za mwisho kwa hayati Ariel Sharon kabla ya mazishi yake hii leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ariel Sharon afariki dunia.

Aliyekuwa waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon amefariki akiwa na umri wa miaka 85.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya Ariel Sharon yazorota zaidi

Hali ya kiafya ya waziri mkuu wa zamani wa Israel, Ariel Sharon ambaye amekuwa mahututi, inaendelea kuzorota na kwamba maisha yake yamo hatarini

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Ariel Sharon kwa picha

Waziri mkuu wa zamani wa Israell Ariel Sharon ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kuwa hali mahututi kwa miaka 8

 

11 years ago

BBCSwahili

Kauli yako kuhusu kifo cha Ariel Sharon

Mitandao ya kijamii imefurika ujumbe kuhusu taarifa za kifo cha Ariel Sharon. Nini kauli yako? facebook bbcswahili

 

11 years ago

Mwananchi

Ariel Sharon: Mbabe aliyepigania maisha miaka minane

>Sharon amefikwa na mauti akiwa na umri wa miaka 85 baada ya kuugua kiharusi tangu mwaka 2006, wakati huo akiwa kwenye kilele cha maisha yake ya kisiasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ariel Sharon: Mpiganaji aliyekumbana na misukosuko hadi kifo chake

Historia ya Israel haiwezi kukamilika bila kutambua mchango wa mmoja wa viongozi wake waliokuwa na msimamo mkali, Ariel Sharon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani