Wastara Aonesha Mahaba Niue Live
Live! Hakuna siri tena kati ya staa wa Bongo Movies, Wastara Juma na Mtangazaji wa Kipindi cha Action and Cut kinachorushwa kupitia Televisheni ya Channel Ten, Bond Bin Sinan baada ya kuonesha mahaba niue kwa kulishana keki kwa staili ya njiwa kwenye ‘bethidei’ ya mwigizaji huyo.
Habari kutoka kwa shushushu wetu zilidadavua kwamba, mpango mzima ulijiri kwenye bonge la pati ya kuzaliwa kwa Wastara iliyochukua nafasi katika Hoteli ya Sun-Rise iliyopo Kigamboni jijini Dar.
Katika pati hiyo ya...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vKRrKI8-7YO7*0jKQzyHGBCmSBN9juNSzAAIRiBLSSajtsEhEmgvJrgisNmcYyjI*SHiVrWrBFyXLbe-PuQFWs/wema.gif?width=650)
WEMA AONESHA MAHABA NIUE LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pyBac3zfF97oePOTEd-E0Akq1G4i-sApwgVjC3HsWaEq4DWlOly67kdMrN4gmL44XuXD6t357W6T2tkcRQ6iJ9/lungi.jpg)
LUNGI NA MAHABA NIUE
9 years ago
Bongo Movies22 Nov
Diamond, Kajala Mahaba Niue!
NI gumzo! Ubuyu motomoto ambao unasambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu mjini unadai kuwa, staa nambari moja Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwigizaji Kajala Masanja wamedaiwa kuwa ni wapenzi na sasa ni mahaba niue, Risasi Jumamosi limesheheni full stori.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo makini, uhusiano wa Diamond na Kajala unadaiwa kuibuka ghafla miezi kadhaa iliyopita lakini wamekuwa wakifanya siri nzito kabla ya hivi karibuni kukolea zaidi baada ya mpenzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5W1fGMD3XQTs2bp1B9*le9Ut4V*dS8f0nQUpsGJSxPZ261jJRGJd97eaz6aj5arfTU0fOhoN2z9t1uJBSsF3bScJ0hbJC9Q2/1.jpg?width=650)
WEMA, IDRIS MAHABA NIUE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejJ2UUTfn2MAgg4Pv-AKLiRcencA2uMfRq*N27WyFJ4eicOuIzMiUkcoIv1rTEW5slNq38ilr-NVOSAQCVoGAhi5/SNURA.jpg)
MAHABA NIUE YAMFICHA SNURA
10 years ago
Bongo531 Jan
New Video: Pasha — Mahaba Niue
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PKW3gC1I4jO3EbLVOy*q470RY5e*5QENypE8stHJoDI7JoCjNfEhRoEA510OmblePcQK9eUrQJYqTknz9eiHiwt/snura.jpg?width=650)
SNURA AGANDWA NA MAHABA NIUE
10 years ago
Bongo Movies02 May
Mahaba Niue, Adui Kuwa ‘Baby’!!
Ilianza kama utani lakini siku zilivyosonga ndivyo uhusiano wao ulivyowekwa wazi, hao ni watu wawili waliowahi kuwa maadui wakubwa miaka kadhaa nyuma.
Hapo nawazungumzia staa wa filamu Shamsa Ford na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambao kwa sasa wamezama kwenye mahaba niue.
Awali, wahusika wote walitumia nguvu kubwa kukanusha juu ya uhusiano wao lakini inatajwa kuwa mahaba yao ndiyo gumzo kuliko ya wengine wote katika Bongo Muvi na yanashika nafasi ya pili katika...