Wataka Waziri aibane Sumatra ipunguze nauli
CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) kimewaomba Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sita kuingilia kati na kuagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), isikilize kilio cha wananchi kuhusu kupunguzwa kwa nauli.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Apr
Sumatra 'yagoma' kushusha nauli
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imetangaza kushusha nauli za mabasi ya Masafa Marefu huku ikiacha kabisa kuzigusa nauli za mabasi katika miji mikubwa, maarufu kama daladala.
10 years ago
Habarileo19 Feb
Nauli za mabasi hazitabadilishwa-Sumatra
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imeshikwa kigugumizi kuhusu suala la kushusha nauli ya magari ya abiria kwa kutoa sababu za kisheria pamoja na ukokotoaji wa tozo.
10 years ago
Habarileo06 Feb
Sumatra yatafakari kushusha nauli
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imewataka wananchi na jamii kuwa watulivu na kuendelea kuvuta subira, huku suala la kushuka kwa bei ya mafuta likifanyiwa utafiti ili kujiridhisha kabla ya kuchukua hatua ya kushusha nauli za vyombo vya usafiri.
10 years ago
VijimamboSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Sumatra yakomaliwa ishushe nauli za mabasi
10 years ago
Habarileo02 Apr
Sumatra yasema nauli lazima zishuke
SIKU chache baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kutaka uangaliwe uwezekano wa kushusha nauli za vyombo vya usafiri nchini, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema inatekeleza agizo hilo na kwamba nauli za daladala na mabasi ya mikoani zitashuka wakati wowote kuanzia sasa.
10 years ago
Habarileo03 Dec
Sumatra waanza kudhibiti nauli, ajali
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imeanza mikakati ya kudhibiti kupandishwa kwa nauli wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka nchi nzima pamoja na kudhibiti ajali.
10 years ago
Habarileo05 Mar
Sumatra yaanza mchakato kurekebisha nauli
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imeanza mchakato wa mapitio ya viwango vya nauli za mabasi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5N6Pt9JoLvcvKUM6CxSDDTAESpgSdEJ7Sp-1SXsCc7IHUxCZMvadt88usUAb8gh4v7UAKTerewAB*7C5m9ZVE*O/7af2MOSHI.jpg)
SUMATRA YATANGAZA VIWANGO VIPYA VYA NAULI