Watakatishaji fedha, marufuku soko la hisa
Dunia ya sasa watu wanafanya kila mbinu ili watajirike, kuna ambao wanatajirika kwa njia ambazo ni halali na wengine kwa njia zisizo halali kama kufanya uharamia, kupata fedha kupitia ugaidi, rushwa, magendo pamoja na kukwepa kulipa kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wengi bado wana kigugumizi kuwekeza fedha soko la hisa
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB KUUZA HISA ZAKE KATIKA SOKO LA HISA LA NAIROBI
Hayo yalisemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei wakati wa siku ya kwanza ya mkutano mkuu wa wanachama wote unaofanyika hapa jijini Arusha.
Kimei alisema uuzaji wa hisa katika Soko la Hisa la Nairobi utafanya bei ya hisa za benki ya CRDB kupanda kutokana na ukweli kwamba katika soko la Dar...
9 years ago
MichuziWaziri Mkuu Majaliwa azindua ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu (MCB) kwenye soko la hisa la Dar es salaam
11 years ago
Uhuru Newspaper13 Aug
Swala yaingia soko la hisa
NA MWANDISHI WETUKAMPUNI ya mafuta na gesi ya Swala, imeingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), baada ya kukidhi vigezo vya masoko ya mtaji .Swala imekuwa kampuni ya kwanza ya mafuta na gesi kutoka ukanda wa Afrika Mashariki kuingia kwenye soko la hisa. Hafla ya kuingizwa DSE, ilifanyika juzi mjini Dar es Salaam, ambapo Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, ambaye alikuwa mgeni wa heshima, alipiga kengele kuashiria uzinduzi wa kampuni hiyo kuingia DSE. Akizungumza...
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Soko la hisa la Ugiriki lafunguliwa
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Soko la hisa la Asia lazidi kuporomoka
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wajasiriamali watakiwa kuchangamkia Soko la Hisa
9 years ago
Michuzi15 Sep
SOKO LA HISA NCHINI LAPOROMOKA KWAASILIMIA 62.
Akiongea na waandishi wa habari Meneja Miradi na Biashara waDar es salaam Stock Exchange Bw. Patrick Mususa alisema kuwa hata hvyo idadi ya mtaji katika soko umekuwa kutoka tilioni 21.9 hadi tilioni 22.3 ikiwa pia na idadi ya...
11 years ago
Habarileo12 Aug
Kampuni ya Swala yaingia Soko la Hisa
KAMPUNI ya Swala Oil & Gas jana imejiorodhesha rasmi katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kupitia mlango wa soko dogo, yaani Enterprise Growth Market (EGM) ambalo ni mahususi kwa ajili ya kampuni ndogo na kati.