Watatu wafariki katika mlipuko Mombasa
Mkuu wa Usalama wa Taifa na Baraza la Ulinzi, Andry Paruby amesema majeshi yataendelea na awamu nyingine ya mashambulizi katika miji mingine ambako wanamgambo na magaidi wanaendesha harakati haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili23 May
2 wajeruhiwa katika mlipuko Mombasa
11 years ago
BBCSwahili26 Jun
21 Wafariki katika mlipuko Abuja
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Watatu wafariki dunia katika matukio tofauti mkoani Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida, wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mkulima moja kupigwa vibaya na askari mgambo akituhumiwa kuvunja mlango wa ofisi ya afisa mtendaji wa kijiji.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP Geofrey Kamwela alisema katika tukio la kwanza,mkulima mkazi wa kijiji cha Milade tarafa ya Kinyangiri wilaya ya Mkalama,Salum Abrahamani (42) amefariki dunia...
11 years ago
BBCSwahili26 Jan
20 wafariki kwenye mlipuko DRC
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watatu wauawa kwa bomu Mombasa
10 years ago
Vijimambo30 Dec
Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Godfrey-30Dec2014.jpg)
Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Watatu wafariki dunia Dar
WATU watatu wamefariki dunia jana jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwamo la mmoja kujinyonga kwa kutumia mtandio. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa...
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Watatu wafariki dunia D’Salaam
![Dar es Salaam](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/dar-es-salaam.jpg)
Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.
Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Watatu wafariki dunia Pwani
MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...