Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watatu wafariki katika mlipuko Mombasa

Mkuu wa Usalama wa Taifa na Baraza la Ulinzi, Andry Paruby amesema majeshi yataendelea na awamu nyingine ya mashambulizi katika miji mingine ambako wanamgambo na magaidi wanaendesha harakati haramu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

2 wajeruhiwa katika mlipuko Mombasa

Mwanamume mmoja amewarushia maafisa wa polisi guruneti kuzuiwa kukamatwa kwa mshukiwa wa ugaidi aliyekuwa mikononi mwa maafisa hao

 

11 years ago

BBCSwahili

21 Wafariki katika mlipuko Abuja

Zaidi ya watu 21 wamedhibitishwa kufariki baada ya mlipuko kutoka katikakati ya jiji la Abuja Nigeria

 

10 years ago

Dewji Blog

Watatu wafariki dunia katika matukio tofauti mkoani Singida

DSC00179111

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP  Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU watatu mkoani Singida, wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mkulima moja  kupigwa vibaya na askari mgambo akituhumiwa kuvunja mlango wa ofisi ya afisa mtendaji wa kijiji.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Singida, SACP  Geofrey Kamwela alisema katika tukio la kwanza,mkulima mkazi wa kijiji cha Milade tarafa ya Kinyangiri wilaya ya Mkalama,Salum Abrahamani (42) amefariki dunia...

 

11 years ago

BBCSwahili

20 wafariki kwenye mlipuko DRC

Watu 20 wanahofiwa kufariki kutokana na mlipuko katika ghala la silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa kwa bomu Mombasa

Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika mji wa Mombasa nchini Kenya.

 

10 years ago

Vijimambo

Watatu wafariki, 11 wajeruhiwa

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela.Watu watatu wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa vibaya katika matukio mawili yaliyozua taharuki kwa wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro mwishoni mwa wiki.

Katika tukio la kwanza lililohusisha ajali ya gari dogo aina ya Toyota Noah likitokea Tanga kwenda Moshi Mjini, liliacha njia na kupinduka baada ya dereva wake, Ally Kasim (48) kushindwa kulimudu kutokana na mwendo kasi.

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki dunia Dar

WATU watatu wamefariki dunia jana jijini Dar es Salaam katika matukio mawili tofauti, likiwamo la mmoja kujinyonga kwa kutumia mtandio. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa...

 

11 years ago

Mtanzania

Watatu wafariki dunia D’Salaam

Dar es Salaam

Eneo la katikati ya Jiji la Dar es Salaam

Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio matatu tofauti likiwamo la mtoto Jackline Lubaka (5), kufariki baada ya ukuta kumdondokea.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya Wakihenya, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 11 jioni wakati Lubaka alipokuwa akicheza na wenzake pembezoni mwa nyumba wanayoishi ghafla alidondokewa na ukuta na kufariki dunia papo hapo.

Alisema chanzo cha ajali hiyo ni uchakavu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wafariki dunia Pwani

MKAZI wa Kijiji cha Msolwa, wilayani Bagamoyo, Doto Paul (30), amekufa kwa kuteketea kwa moto uliotokana na radi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema jana kuwa tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani