Watoto wanaotumikishwa wafundwa
SHIRIKA lisilokuwa la Kiserikali la Faidika Wote Pamoja (Fawopa-Tanzania), kwa ufadhili wa Serikali ya Uholanzi chini ya usimamizi wa Shirika la Maendeleo la Uholanzi la Terre Des Hommes, wameendesha mafunzo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Waajiri wafundwa
WAAJIRI wametakiwa kushiriki Siku ya Taaluma nchini (Career Day) ambayo hufanyika kila mwaka katika Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara cha Moshi (MUCCoBS) kama sehemu muhimu ya kukutana na watu...
9 years ago
Habarileo16 Dec
Tucta wafundwa
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Afrika (OATUU), Mezholid Arezki amehimiza Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania(Tucta) kushirikiana kuhakikisha wanaboresha maslahi ya wafanyakazi nchini.
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Walimu Tabora wafundwa
WAHITIMU 175 wa Chuo cha Ualimu Tabora wameaswa kutumia mafunzo ya ualimu waliyopata kwa uadilifu na kamwe wasije kuwa mzigo kwa serikali na jamii. Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa...
9 years ago
Habarileo03 Jan
Makatibu wakuu wafundwa
MAKATIBU Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.
9 years ago
Habarileo21 Aug
Wanafunzi wafundwa kuepuka mimba
WANAFUNZI wa shule za msingi na sekondari wilayani Namtumbo wametakiwa kujiepusha kushiriki katika vitendo vinavyoweza kukatisha ndoto zao kama vile mimba za utotoni na kupata virusi vya Ukimwi.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wahitimu Aga Khan wafundwa
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Makatibu wakuu wa wizara wafundwa
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Miss Tanga 2014 wafundwa
KATIKA kuelekea kinyang’anyiro cha kumsaka Nice&Lovely Miss Tanga 2014, washiriki wametakiwa kujiamini na kuongeza juhudi ili waweze kufanya vizuri katika fainali za shindano hilo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Mkonge,...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Waandishi Kanda ya Ziwa wafundwa
WAANDISHI wa habari nchini, wametakiwa kutekeleza wajibu wao kwa kufuata maadili na misingi ya uandishi wa habari hususan za uchunguzi wakati huu wa kuelekea Uchaguzi Mkuu.