Watuhumiwa wa Stakishari kortini
WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya mauaji ya watu saba, wakiwemo askari wanne katika Kituo cha Polisi cha Stakishari.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Watuhumiwa wa Stakishari wapanda kizimbani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3ezxrwcFkaFzzKO1UTXksEQJICBJ-a8iJPPVTvhGuCz8bV-76p6j9V-J5dANyY5fuQal5A3aVsBl3pifBVXFFA7/STAKISHARI13.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI
9 years ago
Michuzi27 Nov
KESI YA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA ASKARI WA KITUO CHA STAKISHARI YAAHIRISHWA
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeairisha kesi inayowakabili watuhumiwa kumi (10)wa ujambazi wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari Polisi wa kituo Stakishari jijini Dar es Salaam.
Watuhumiwa wanaodaiwa kufanya mauaji ya Askari wa Kituo cha Stakishari ni Omary makota(28),Rajab Ulatule(22),Ramadhani Ulatule(20),Fadhiri Lukwembe(23),Ally Salum(63).
Wengine ni Hamis Salum(51),Nassoro Abdalah(42)Seleman Salum(83),Said Mohamed(67) na Said Abdulah(45)....
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kortini kwa mauaji ya polisi na raia Stakishari
11 years ago
Habarileo02 Aug
Watuhumiwa 19 wa mabomu kortini
WATUHUMIWA 19 wa ulipuaji mabomu mkoani Arusha, jana walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Walisomewa mashtaka yanayowakabili chini ya ulinzi mkali ndani na nje ya viwanja vya mahakama.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Watuhumiwa wa mauaji kortini Z’bar
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Watuhumiwa wa ‘unga’ kortini leo
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Watuhumiwa vifo Austria kortini
10 years ago
Habarileo21 May
Watuhumiwa 25 wa ugaidi kortini Moro
WATU 25 wanaotuhumiwa kwa vitendo vya ugaidi katika Tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero mkoa wa Morogoro, wamepandishwa kizimbani.