Watuhumiwa vifo Austria kortini
Watu wanne waliotiwa mbaroni baada ya miili ya watu sabini moja ya wahamiaji kupatikana kwenye lori nchini Austria wanatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Hungary leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Sep
Watuhumiwa wa Stakishari kortini
WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya mauaji ya watu saba, wakiwemo askari wanne katika Kituo cha Polisi cha Stakishari.
11 years ago
Habarileo02 Aug
Watuhumiwa 19 wa mabomu kortini
WATUHUMIWA 19 wa ulipuaji mabomu mkoani Arusha, jana walifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Walisomewa mashtaka yanayowakabili chini ya ulinzi mkali ndani na nje ya viwanja vya mahakama.
10 years ago
Habarileo21 May
Watuhumiwa 25 wa ugaidi kortini Moro
WATU 25 wanaotuhumiwa kwa vitendo vya ugaidi katika Tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero mkoa wa Morogoro, wamepandishwa kizimbani.
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Watuhumiwa wa mauaji kortini Z’bar
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Watuhumiwa wa ‘unga’ kortini leo
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Watuhumiwa wawili wa ugaidi kortini Dar
Waandishi Wetu, Dar na Tanga
WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakidaiwa kutoa mafunzo ya ugaidi kwa vijana wa Tanzania mkoani Tanga.
Mmoja wao anaelezwa kuwa alikuwa pia akitoa mafunzo ya jeshi kwa kundi la Hizbul al lililotaka kuipindua serikali ya Somalia mwaka 2010.
Washtakiwa hao, Ally Nassoro au Dk. Sule na Juma Zuberi au Kitambi, walifikishwa jana katika mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Riwa.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Peter Njike akisoma...
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Watuhumiwa ugaidi wachafua hali ya hewa kortini
![Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/watuhumiwa-ugaidi-dar.jpg)
Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), ametoa shutuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi akidai kuwa limewafanyia ukatili kwa kuwapiga, hali inayowafanya baadhi yao wajisaidie damu.
Sheikh...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-95EPrOC0dhM/VZObAygQWII/AAAAAAAHmKw/94_pYAZBH68/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
MZIMU WA NGOMA AFRICA BAND KUIBUKIA MAMLING FESTIVAL, AUSTRIA, Jumapili 5 Julai 2015-Austria