WATUMISHI WA AFYA WAASWA KUTOSHIRIKI KWENYE UHALIFU WA KUHARIBU USHAHIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9_thYw2ghw/XkkApylr2dI/AAAAAAAAmtw/Dn0h8K6JvrA4TCzxO1Ll4OBpjT6trbMogCLcBGAsYHQ/s72-c/0c43a3af-98fa-4c04-a6e5-da8c6fa992d2.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza jambo na watumishi wa afya (hawapo pichani) wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro.
Watumishi wa afya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro wakiwa kwenye kikao na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (hayupo pichani) alipofanya ziara katika Hospitali hiyo.
Na Englibert Kayombo, WAMJW – Moshi Kilimanjaro.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-niKKfjlMEck/XkkKZ75KTNI/AAAAAAALdkE/frHjPlarZ9UoS-V0SIGDf9SgFOsneu1PwCLcBGAsYHQ/s72-c/8a7b8e4b-da86-454e-b498-e54fe92c27b2.jpg)
WATUMISHI WA AFYA WAASWA KUTOSHIRIKI UHALIFU WA KUHARIBU USHAHIDI
Na Englibert Kayombo, WAMJW – Moshi Kilimanjaro.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewaasa watumishi wa afya kutoshiriki kwenye makosa ya uhalifu kwa kuharibu ushahidi wa makosa ya jinai pindi wanapofanya uchunguzi wa kitaalam.
Dkt. Ndugulile ametoa kauli hiyo alipokuwa ziarani katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kilimanjaro (Mawenzi) akizungumza na watumishi wa afya hospitalini hapo.
“Katika kosa ambalo hatutamsamehe mtumishi wa afya ni...
10 years ago
MichuziWATUMISHI WA UMMA WAASWA KUWA WAADILIFU
11 years ago
MichuziWatumishi Sheria waaswa kupinga unyanyasaji kijinsia
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Watumishi Sheria waaswa kupinga unyanyasaji wa kijinsia
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Fanuel Mbonde akifungua mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mkufunzi wa Masuala ya Jinsia na Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani (TAWJA) Jaji Mstaafu Eusebia Munuo akiongea wakati wa mafunzo kuhusu uzingatiwaji na uelewa wa masuala ya jinsia kwa watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria jijini Dar es Salaam mwishoni mwaka wiki.
Mkufunzi wa...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
10 years ago
MichuziWatumishi Katiba na Sheria waaswa kufanya kazi kwa malengo
Akizungumza na watumishi wa makao makuu ya Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Alhamisi, Novemba 20, 2014), Katibu Mkuu Bi. Maimuna Tarishi amesema ushirikiano na upendo ni ngunzo muhimu za mafanikio katika taasisi yoyote.
“Watumishi wa umma, hasa tuliopo Dar es Salaam, tunatumia muda mrefu tukiwa kazini hivyo tunatakiwa tupendane na...
10 years ago
MichuziWatumishi wapya Nishati na Madini waaswa kuwa wabunifu, waadilifu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Watumishi wa Serikali mipakani waaswa kutoisaliti nchi yao kujiepusha na ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Bandari ya Kabwe, Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0102-scaled.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na Kikosi cha Ulinzi na Usalama Mkoa akitoa maelekezo baada ya kuiona nyumba itakayotumika kwaajili ya kuhifadhi wageni kwa siku 14 katika bandari ya Kabwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0086-scaled.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (katikati) akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda (kushoto) pamoja na msimamizi wa Bandari ya Kabwe Mohamed Issa (Kulia) na wengineo wakati wakiingia katika lango kuu la bandari hiyo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAASWA WATUMISHI WA SERIKALI MIPAKANI KUTOISALITI NCHI YAO KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Mh. Wangabo amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kwani kuwapitisha wageni hao kwa kutumia rushwa kutasababisha nchi itaingia kwenye...