WATUMISHI WA UMMA WANAWAKE WAANZISHA MTANDAO WA KUWASAIDIA KUFIKIA MALENGO CHANYA YA UONGOZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-h_yNIH2aGZY/XmetDjz9t7I/AAAAAAALid0/9tF_KPS3gw08ZA_ByZZ7rJRwRnpSbsmFgCLcBGAsYHQ/s72-c/1b21ac64-f68a-49c8-b296-c5224f8e2523.jpg)
Charles James, Michuzi TV
MTANDAO wa Watumishi wa Umma Wanawake ujulikanao kama Viongozi Wanawake Wanaochipukia Tanzania’ (EWLT) wamekuja na mpango wa kuleana na kubadilishana uzoefu katika kufikia malengo chanya ya kiuongozi.
Akizungumza katika uzinduzi wa mtandao huo mmoja wa waanzilishi, Bi Glory Mboya kutoka
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) amesema mtandao huo una lengo la kukuza Vijana wakike katika kufikia ngazi za juu za uongozi.
Bi Mboya amesema mtandao huo utajikita zaidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Mitandao ya kijamii itumike kwa malengo chanya
MITANDAO ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma, endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati. Pamoja na umuhimu wa mitandao...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xzzilRFogH8/VlRTu1Frl0I/AAAAAAAIIMg/2G-qCp8vs5I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA UONGOZI WA MTANDAO WA WANAWAKE TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xzzilRFogH8/VlRTu1Frl0I/AAAAAAAIIMg/2G-qCp8vs5I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EOoX3j99Q6Y/VlRTwAXFUOI/AAAAAAAIIM0/kOSZywQ3CY4/s640/2.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Tanzania yashindwa kufikia malengo ya milenia
10 years ago
Habarileo02 Oct
SBL yazindua kampeni kufikia malengo
KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua kampeni itakayotoa elimu kwa Watanzania ili kusaidia kufikia malengo yaliyo bora kwa manufaa ya kila mmoja na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Msaidie mwanao kufikia malengo yake ya baadaye
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Benki ya Exim yajipanga kufikia malengo 2016
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
DART wasajili wamiliki daladala kufikia malengo
MAMLAKA inayosimamia mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART), iko katika hatua ya kusajili wamiliki wa daladala jijini Dar es Salaam ambao njia zao zinapita katika barabara ya Morogoro. Hatua hiyo...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Ndugai: Tutamsadia Rais kufikia malengo yake
Waandishi wetu, DEUS BUGAYWA na JOHN DANIEL, walifanya mahojiano na Spika wa Bunge, Job Ndugai, i
Waandishi Wetu
9 years ago
VijimamboWATUMISHI HOUSING COMPANY, BENKI YA CRDB WATIA SAINI MKATABA WA MIKOPO YA NYUMBA KWA WATUMISHI WA UMMA
Katibu wa Benki ya CRDB, John Rugambo (kulia), akitia saini mkataba huo. Kutoka kushoto ni Chief Operation Officer wa WHCTZ, Weja Ng'olo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa TMRC, Oscar Mgaya, Mkurugenzi wa Watumishi Housing Company, Dk.Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Charles Kimei.