Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi waliotumia vyeti feki kukiona

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki, ameiagiza Idara ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu (Utumishi) kuwachukulia hatua watumishi waliobainika kutumia vyeti visivyo vyao, kupata ajira serikalini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Watumishi 1,360 wakutwa na vyeti feki

UDANGANYIFU katika vyeti wakati wa kuomba ajira umeendelea kukithiri nchini, ambapo ndani ya mwaka mmoja tu, kuanzia Julai mwaka jana mpaka Juni mwaka huu, watumishi 1,360 wamekutwa na vyeti visivyo halali. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde, alisema hayo jana mbele ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya baraza hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaouza vyeti vya kuzaliwa kukiona

SERIKALI imetangaza kuwachukulia hatua kali wote watakaobainika kuuza vyeti vya kuzaliwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela...

 

11 years ago

Mwananchi

Vyeti ‘feki’ vyatawala Simba

Wakati wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika klabu ya Simba wakitarajiwa kufanyiwa usaili leo ili kushiriki uchaguzi mkuu wa klabu hiyo baadaye mwezi ujao, imebainika kuwa wengi wamewasilisha vyeti bandia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wenye vyeti feki wakaangwa bungeni

Wabunge juzi jioni walichachamaa wakitaka mawaziri na wabunge wanaohusishwa na vyeti feki kulithibitishia Bunge juu ya uhalali wa vyeti vyao.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasi ya Magufuli yabaini vyeti feki 219

Ni utaratibu wa kuwabaini watumishi walioghushi vyeti vya elimu kwa lengo la kupata ajira

 

10 years ago

Mwananchi

Vyeti feki ni tatizo linalohitaji ufumbuzi haraka

Watanzania tumejijengea utamaduni wa ajabu, wa kujiuza kwa kutumia vyeti feki. Tatizo hilo lilianza kidogokidogo katika miaka ya 1980 na sasa limekuwa jambo la kawaida na maarufu.

 

11 years ago

Habarileo

Wakurugenzi, watumishi wahujumu kukiona

Kassim MajaliwaSERIKALI imesema itaendelea kuchukua hatua kali za kisheria ikiwamo kuwashusha vyeo baadhi ya wakurugenzi na watumishi wa halmashauri za wilaya nchini ambao kwa namna moja au nyingine watakutwa na tuhuma mbalimbali katika halmashauri zao.

 

9 years ago

Global Publishers

Kasi ya rais Magufuli yabaini vyeti feki 219

1Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki.

Kasi ya Mawaziri wa Rais John Pombe Magufuli kufanya ziara za kushtukiza na kutoa maagizo kwa watendaji imeanza kufumua uozo baada ya jana kubainika kuwa watumishi 219 kati ya 704 wa serikali wameajiriwa kwa vyeti vya kughushi.

Sakata hilo liliibuliwa baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki kutembelea Idara,vitengo vya Usimamizi wa...

 

9 years ago

Habarileo

IGP akanusha kufuta askari kwa madai ya vyeti feki

MKUU wa Polisi nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amekanusha kufutwa kazi kwa askari kadhaa wanaodaiwa kuwa na vyeti feki kama iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii juzi na akasema Jeshi lake linamtafuta mtu ambaye amesambaza taarifa hizo alizoita za uzushi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani