Wauza unga TZ? majibu ya DNA baba na mtoto? Maalim Seif Ikulu? Kagame na bandari TZ? Stori +Audio
Najua kuna watu wangu wanakosa time ya kusikiliza uchambuzi wa MAGAZETI redioni kila siku, uchambuzi huwa unagusa headlines kubwa kubwa zote kurasa za nje na ndani… leo December 22 2015 kuna hizi nilizozinasa. Rais Magufuli aungana na Marais wastaafu kwenye mazishi ya dada yake JK, Tausi Khalfan Kikwete kijijini Msoga, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema […]
The post Wauza unga TZ? majibu ya DNA baba na mtoto? Maalim Seif Ikulu? Kagame na bandari TZ? Stori +Audio appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio)
Kama umekuwa mfatiliaji wa stori za Magazetini wiki iliyopita kulikuwa na stori kubwa ambayo ilitawala sana kuhusu ishu ya ripoti za vipimo vya DNA kuwa kati ya walioenda kupima DNA imeonesha 49% ya watoto wanalelewa na baba ambao sio baba wazazi. Baba wa mtoto huyo amesimulia kwamba hakupendezwa na kitendo cha dada mmoja anayeuza duka la […]
The post Ishu ya DNA ya baba na mtoto ilivyoleta Hekaheka Dar… (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG9Tc3R5oTKjxIvG6VQMJC3*F2TwRCua5w4KKomh-PLxEgd5ieTIDCKfPaW*yBN0Dc5H6nmWca8PzJwL--M0eowS/Ney.jpg?width=650)
UTATA MTOTO WA NAY NA SIWEMA, MAJIBU YA DNA YAMALIZA UBISHI
9 years ago
Bongo517 Aug
Utani Huu: Mpambe wa Ex wa Zari anataka DNA ya mtoto wa Diamond, anadai yeye ni baba, juzi alidai Ivan ndio baba!
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Stori za 255 zilizobeba uzito wa mwaka 2015 >> Daz Baba, B Hitz, Stereo na Cyril.. (+Audio)
Leo 255 inasimama na baadhi ya stori ambazo ziligusa vichwa vya habari kwa mwaka 2015… ilikuwepo ishu ya uzushi wa Daz Baba kuonekana ana hali mbaya na anaonekana ni mgonjwa aliyechoka… Daz Baba mwenyewe alisikika January 2015 akaonekana kusikitishwa sana na stori hizo kwa sababu yeye ni mzima na yuko poa kabisa. Director Kelvin Bosco […]
The post Stori za 255 zilizobeba uzito wa mwaka 2015 >> Daz Baba, B Hitz, Stereo na Cyril.. (+Audio) appeared first on...
9 years ago
Habarileo10 Nov
Shein, Maalim Seif wateta Ikulu
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekutana katika Ikulu ya Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mkuu uliofutwa.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2RyjG8QpsI/Vnf4Iwcr8vI/AAAAAAAAsFg/TCTSW5o8NV4/s1600/tmp_22871-magu-237045258.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WlHURgwxfTU/Vnf8Iyaif2I/AAAAAAAAsF4/qDY4cCMOytw/s1600/tmp_25140-441627715366.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fz8tYeyt-c/Vnf8KIdhB-I/AAAAAAAAsGA/Qqfph0yUlcg/s1600/tmp_25140-1927664_10204112923663693_1225570115674240119_n942052400.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Er73vFzuxhU/Vnf8L4a_u9I/AAAAAAAAsGI/dg7340mlAuM/s1600/tmp_25140-1927664_10204112924063703_143893749029110821_n1595330905.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWnDjCKGSSO9SvXTNQUR33zHU9cYmHfgDir5ss6olCHSAPPRkUpP1nSNWhAhGD-lsg3Ao-8s2XsIz9kNs-uK4vE/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Rais Kikwete akutana na Maalim Seif Ikulu jijini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s1600/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dSr0aDUaiZc/VWrdMGcfk_I/AAAAAAAHa7c/4NaRGpNgenY/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F3WAe-kZmtE/VWrdDoOs09I/AAAAAAAHa7M/tqvV_nWu-Zk/s1600/unnamed%2B%252839%2529.jpg)