Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wavuvi walalamikia polisi

WAVUVI wa Kisiwani Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, Kagera, wamelilamikia Jeshi la Polisi kwa kutoweka ulinzi wa kutosha katika Ziwa Victoria hali inayosababisha wavuvi hao kufanyiwa vitendo vya uhalifu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Wananchi walalamikia polisi K’njaro

Na Upendo Mosha,Moshi

WANANCHI mkoani Kilimanjaro, walitupia lawama jeshi la polisi mkoani humo kwa kushindwa kudhibiti wimbi la uporoaji wa kutumia silaha na mauaji.

Hatua hiyo, imekuwa siku chacha tu,baada ya mauaji ya mfanyabishara maarufu mjini Moshi, Josephat Mahalo (36) maarufu kwa jina la Tajiri mtoto.

Wakizungumza na MTANZANIA  kwa nyakati tofauti  juzi mjini Moshi,wamesema matukio ya uhalifu yameendelea kushika kasi maeneo mbalimbali ya mkoa  huo tofauti na miaka ya hivi...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi walalamikia kukosa mashine ya vinasaba

JESHI la Polisi Zanzibar limesema kukosekana kwa mashine ya kuchunguza vinasaba(DNA) kati ya mwanamke na mwanamume ni moja ya vikwazo vikubwa katika kuzipatia ufumbuzi kesi za mimba kwa wanafunzi na wanawake kwa ujumla.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi Mwanga walalamikia operesheni ya polisi

Moshi. Kamatakamata ya watu wanaoshukiwa kuiba mabomba ya maji nyumbani kwa Waziri mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, imeibua malalamiko miongoni mwa wakazi wa Wilaya ya Mwanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wavuvi waandamana kupinga uvamizi

ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...

 

10 years ago

Habarileo

‘Wavuvi haramu wanahujumu uchumi’

NAIBU waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele ameitaka jamii kutofumbia macho wavuvi haramu kwa kwa vitendo vyao havina tofauti na kuhujumu uchumi.

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Wavuvi 50 wauawa na Boko Haram

Wanamgambo wa Boko Haram wamefanya shambulizi lengine kubwa sana na kuwaua takriban wafanya biashara 50 wa kuuza Samaki katika ufuo wa ziwa Chad.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavuvi waagizwa kutowasaidia wahamiaji

Wavuvi kutoka Indonesia wamesema kuwa wameamriwa na Serikali kuwa wasiwalete wahamiaji wanaopatikana wakielea kwenye vyombo baharini

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara kuwainua kiuchumi wavuvi

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeweka mikakati ya kuwaondoa wavuvi katika umaskini kwa kutoa elimu na mbinu  za kujiunga na huduma mbalimbali za jamii. Hayo yalielezwa jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani