Polisi walalamikia kukosa mashine ya vinasaba
JESHI la Polisi Zanzibar limesema kukosekana kwa mashine ya kuchunguza vinasaba(DNA) kati ya mwanamke na mwanamume ni moja ya vikwazo vikubwa katika kuzipatia ufumbuzi kesi za mimba kwa wanafunzi na wanawake kwa ujumla.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Nov
MNH walalamikia kukosa mishahara
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Wavuvi walalamikia polisi
WAVUVI wa Kisiwani Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, Kagera, wamelilamikia Jeshi la Polisi kwa kutoweka ulinzi wa kutosha katika Ziwa Victoria hali inayosababisha wavuvi hao kufanyiwa vitendo vya uhalifu...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
Wananchi walalamikia polisi K’njaro
Na Upendo Mosha,Moshi
WANANCHI mkoani Kilimanjaro, walitupia lawama jeshi la polisi mkoani humo kwa kushindwa kudhibiti wimbi la uporoaji wa kutumia silaha na mauaji.
Hatua hiyo, imekuwa siku chacha tu,baada ya mauaji ya mfanyabishara maarufu mjini Moshi, Josephat Mahalo (36) maarufu kwa jina la Tajiri mtoto.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti juzi mjini Moshi,wamesema matukio ya uhalifu yameendelea kushika kasi maeneo mbalimbali ya mkoa huo tofauti na miaka ya hivi...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Wananchi Mwanga walalamikia operesheni ya polisi
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI TANZANIA LAKABIDHIWA MASHINE ZA KUWEKA ALAMA SILAHA
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Vinasaba ni muhimu kupona Ebola