Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vinasaba ni muhimu kupona Ebola

Vinasaba vya kijeneti katika mwili wa mgonjwa vina mchango kubwa kumwezesha kupona au la

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Wema: Kupendeza ni Muhimu Ila Kuelimika ni Muhimu Zaidi

Mrembo na Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameandika hayo mtandaoni mara baada ya kuweka picha  hiyo hapo juu akiwa anapiga kitabu.

“Kupendeza ni muhimu ila kuelimika ni muhimu zaidi. Je, unajaribu kujifunza kitu kipya kila siku?” Wema alihoji na kuendelea “Elimu haina mwisho na mie binafsi najifunza mengi kwa kaka angu….
 Jitahidi kujiendeleza kimawazo na hautakwama ukikutana na vikwazo!”…..

Nadhani kila mmoja wetu atauzingatia ujumbe huu, hongera sana Wema.

Mzee wa...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi walalamikia kukosa mashine ya vinasaba

JESHI la Polisi Zanzibar limesema kukosekana kwa mashine ya kuchunguza vinasaba(DNA) kati ya mwanamke na mwanamume ni moja ya vikwazo vikubwa katika kuzipatia ufumbuzi kesi za mimba kwa wanafunzi na wanawake kwa ujumla.

 

11 years ago

Habarileo

Vinasaba vyasaidia serikali kuvuna bil 33.53/- mafuta

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter MuhongoVITENDO vya uchakachuaji mafuta vimeweza kudhibitiwa na kuiwezesha serikali kupata mapato ya Sh bilioni 33.53 tangu Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA) ilipochukua hatua ya kudhibiti mwenendo wa sekta ndogo ya mafuta ya petroli.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali itoe tamko mbegu za vinasaba — Wadau

WADAU wa sekta binafsi za kilimo nchini wameitaka serikali kutoa tamko pamoja na  takwimu za awali kutokana na uchunguzi unaofanywa juu ya matumizi ya mbegu zilizochanganywa vinasaba. Wadau hao walibainisha...

 

9 years ago

Habarileo

Maabara ya vinasaba ya pili Afrika yazinduliwa MUHAS

TANZANIA inatarajiwa kuanza kuokoa mamilioni ya Shilingi yaliyokuwa yakienda nje ya nchi kwa ajili ya uchunguzi wa vinasaba baada ya kuzindua maabara yake ambayo ni ya pili katika Bara la Afrika.

 

9 years ago

StarTV

Mwinyi azindua maabara ya utafiti wa Kutambua Sampuli Ya Vinasaba

 

Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amezindua maabara ya utafiti wa  Vinasaba itakayoiwezesha Tanzania kubaini magonjwa na kuyatibu na hatimaye kupunguza gharama za kusafirisha sampuli kwenda nje ya nchi kwaajili ya uchunguzi.

Tanzania inakua ya pili kwenye nchi za Afrika kuwa na maabara hiyo ya kimataifa baada ya Afrika Kusini na hivyo kunufaika zaidi kupitia nchi nyingine kuleta vinasaba vyao nchini kwajili ya uchunguzi.

Vinasaba ni chembechembe zilizopo kwenye mwili wa...

 

5 years ago

Michuzi

VIJANA WASHAURIWA KUPIMA VINASABA VYA SIKOSELI KABLA YA KUANZISHA MAHUSIANO NA KUOANA


 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (kulia) akionesha mwongozo wa taifa wa matibabu kwa watu wenye Sikoseli mara baada ya uzinduzi, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali ya Taifa Muhimbili prof. Lawrence Museru leo jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akiwa na viongozi mbalimbali wa Wizara hiyo pamoja watoto wakionesha mwongozo wa taifa wa matibabu kwa watu wenye Sikoseli mara baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo 10 ya kufa au kupona

Wagombea ubunge wa majimbo 10 wana kazi ya ziada ya kufanya kabla ya Jumapili wakati wananchi watakapopiga kura kuamua ushindani mkali uliotanda kwa karibu miezi miwili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu, kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani