Wawakilishi wa Afrika watatutoa kimasomaso?
Historia inaonyesha kuwa hakuna timu hata moja kutoka Afrika iliyofanikiwa kuvuka hatua ya robo fainali za Kombe la Dunia, ingawa miaka minne iliyopita Ghana ‘Black Stars’ walikaribia kuvunja rekodi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Nov
Wawakilishi wa haki za wanawake kanda tano za Afrika wakutana Arusha
Wawakilishi wa wanawake kutoka kanda tano za Afrika wamekutana jijini Arusha dhamira kuu ikiwa ni kupigania haki za wanawake hususani walio kwenye maeneo ya pembezoni kuweza kupata haki ya kumiliki ardhi na rasilimali nyingine za asili.
Wanawake hao kutoka katika kanda za Mashariki,Kaskazini,Kati,Kusini na Magharini mwa Afrika wamesema licha ya kwamba katiba na sheria za nchi nyingi za Afrika zinataja uwepo kwa haki sawa ya umiliki wa rasilimali kati ya wanaume na wanawake lakini kwa...
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Dkt. Bilal afungua mkutano wa mashauriano ya wawakilishi wa kamati ya kudumu ya Umoja wa Afrika (AU) na wataalamu wa Haki na Sheria, Jijini Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Afrika( AU) wakati alipokuwa akiwasili kwenye Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha kwa ajili ya kufungua Mkutano wa Mashauriano kati ya Wawakilishi wa Kamati ya Kudumu ya Umoja wa Afrika( AU) na Wataalamu wa Masuala ya Haki na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli hiyo uliokuwa ukijadili kuhusu kuimarisha demokrasi, utawala wa sheria na masuala ya...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahutubia wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa mazingira duniani (Cop20) Jijini Lima, Peru
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Wataalam ya Afrika katika masuala ya Majadiliano ya Mabadiliko ya Tabianchi kutoka nchini Sudan, Nagmeldin El-Hassan, wakati alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kuzungumza na wawakilishi wa Afrika katika mkutano wa Mazingira Duniani (Cop20) unaoendelea jijini Lima, nchini Peru. (Picha na OMR).
Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA KAMATI YA KUDUMU YA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA WATAALAMU WA HAKI NA SHERIA, JIJINI ARUSHA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-RdDtQKcZ6Lg/VegEdZz7F4I/AAAAAAACiYI/yhBpOhYRqf0/s640/1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RBlcWY33n9E/VegKwY6BnuI/AAAAAAAH2CY/UilNxCTCK0c/s72-c/01.jpg)
AKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO YA WAWAKILISHI WA KAMATI YA KUDUMU YA UMOJA WA AFRIKA (AU) NA WATAALAMU WA HAKI NA SHERIA, JIJINI ARUSHA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RBlcWY33n9E/VegKwY6BnuI/AAAAAAAH2CY/UilNxCTCK0c/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zXtik9t1elo/VegKyDcJQFI/AAAAAAAH2Ck/TflMNUl39y0/s640/05.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/56.jpg)
WAKUU WA MERCEDES BENZ KUTOKA UJERUMANI NA WAWAKILISHI WA MERCEDES BENZ AFRIKA WATEMBELEA TANZANIA
11 years ago
GPL25 Jul