WAKUU WA MERCEDES BENZ KUTOKA UJERUMANI NA WAWAKILISHI WA MERCEDES BENZ AFRIKA WATEMBELEA TANZANIA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/56.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne Mcintosh, akizungumza na Wakuu wa Mercedes Benz kutoka Ujerumani na Wawakilishi wa Mercedes Benz Afrika katika mpango mkakati wa kubadilishana nao mawazo na uzoefu katika shughuli za biashara na masoko katika ukanda wa Afrika. Wakuu wa Mercedes Benz kutoka Ujerumani na Wawakilishi wa Mercedes Benz Afrika pia walipata fursa ya kuangali akarakana ya kampuni hiyo kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC_0159.jpg)
MBIO ZA MASHUA ZA MERCEDES BENZ CUP 2015 ZAFANA
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0154.jpg)
CFAO MOTORS WAZINDUA TOLEO JIPYA LA MERCEDES BENZ JIJINI DAR
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014015.jpg?width=600)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0426.jpg?width=640)
CFAO YAANZISHA HUDUMA MPYA KWA WAMILIKI WA MALORI YA MERCEDES BENZ NCHINI
10 years ago
Michuzi03 Nov
SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
![Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014016](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014016.jpg)
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru Afrika.
Afrika Kusini...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mbunifu Sheria Ngowi afunika katika maonyesho ya mavazi ya ‘Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014′ nchini Afrika Kusini
Na Mwandishi wetu
Mbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita ‘PRIDE’ yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QxksrqEy5YA/U0jeCQ-9zMI/AAAAAAAFaKs/c5SLmlKRei0/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mercedes Benz C200 for sale
![](http://2.bp.blogspot.com/-QxksrqEy5YA/U0jeCQ-9zMI/AAAAAAAFaKs/c5SLmlKRei0/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pNOFED0leIM/U0jeCvM8kvI/AAAAAAAFaKw/U6vM9jxJ_CY/s1600/unnamed+(2).jpg)