Wawili wajinyonga Dar
WATU wawili wamefariki dunia Jijini Dar es Salaam, katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga likiwemo lililosabishwa na migogoro ya kifamilia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alimtaja aliyejinyonga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo25 Sep
Wawili wajinyonga kwa mashuka
WATU wawili wamekufa dunia kwa kujinyonga katika maeneo tofauti jijini Dar es Salaam, ikiwemo aliyejinyonga kwa kutumia shuka alilotundika darini.
10 years ago
Michuzi
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI

Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wawili wafa Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti jijini Dar es Salaam likiwemo la mtoto kutumbukia kwenye karo la maji machafu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, Kamanda Msaidizi wa Polisi...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Wawili wafa maji Dar
MWANAFUNZI wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Galanos, mkoani Tanga, Abdulrazaki Mziray (19), amekufa maji wakati akiogelea. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema tukio hilo...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wawili wafa ajalini Dar
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia juzi jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema kuwa juzi saa 4 asubuhi, katika Barabara ya...
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Polisi yaua majambazi wawili Dar
11 years ago
Mwananchi11 May
Ajali ya daladala yaua wawili Dar
5 years ago
MichuziDAR YABAKI NA WAGONJWA WAWILI WA CORONA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WAZIRI wa afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hadi sasa Mkoa wa Dar es Salaam umesalia na wagonjwa wawili pekee wa virusi vya Corona (COVID-19) waliopo katika hospitali za umma na binafsi na kueleza kuwa hali hiyo imepelekea kurejeshwa kwa huduma katika hospitali ya Amana pamoja na kituo cha Mloganzila.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati akifungua kituo cha kitaifa cha Afya Mtandao cha Wizara ya Afya kilichopo...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Watuhumiwa wawili wa ugaidi kortini Dar
Waandishi Wetu, Dar na Tanga
WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakidaiwa kutoa mafunzo ya ugaidi kwa vijana wa Tanzania mkoani Tanga.
Mmoja wao anaelezwa kuwa alikuwa pia akitoa mafunzo ya jeshi kwa kundi la Hizbul al lililotaka kuipindua serikali ya Somalia mwaka 2010.
Washtakiwa hao, Ally Nassoro au Dk. Sule na Juma Zuberi au Kitambi, walifikishwa jana katika mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi, Hellen Riwa.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Peter Njike akisoma...