Wayakumbuka matukio makuu Afrika 2015?
Jipime uwezo wako wa kukumbuka matukio makuu Afrika mwaka 2015 kwa kujibu maswali haya mafupi kuhusu matukio 12 yaliyotawala vichwa vya habari mwaka huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Matukio makuu maisha ya Oscar Pistorius
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Matukio 10 makuu baada ya mauaji Garissa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200306_123804_147.jpg)
MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lY5dP8lkG34/XmNaBxaMZEI/AAAAAAAAIWc/n4LnlpbkT5w2-PagSRT83WHlZdnCJMREQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_123804_147.jpg)
Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
![](https://1.bp.blogspot.com/-W1ks04dNgRs/XmNaSdYE5UI/AAAAAAAAIW0/990B99_eL6UW2aDj5ZDtiLd07FInX8YvwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_125932_263.jpg)
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
![](https://1.bp.blogspot.com/-sHi_iV7-SIY/XmNaSD0NZWI/AAAAAAAAIWw/OsQCWOAUnp0rL53vWzIqMiipoAjdSklqgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_130748_352.jpg)
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3P8Lv96_Uqk/XmNab1RAEII/AAAAAAAAIXA/svCi6L-8cV8yrC_Jcc8Wv7cbsslscZCxQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133428_080.jpg)
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mJ7Ir4_hAfs/XmNaVcCrOxI/AAAAAAAAIW4/_Bs9PqzLOXwA4m685_FDFgeLSGuUL9NbQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133411_049.jpg)
Tunafuatilia mada kwa makini
![](https://1.bp.blogspot.com/-bCdJ697J0-8/XmNaZiVkWLI/AAAAAAAAIW8/tzNf9UvSbocOuXj0caPdzGCZhEAlhJeqwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200306_133418_402.jpg)
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GCcmDCu8TEg/Xu0MlevPUyI/AAAAAAALur4/A3sKjVQL2lIxCRavJxO0Ovw6TBsyPC61gCLcBGAsYHQ/s72-c/Picture%2B2%2B%25281%2529.png)
MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.
Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi...
10 years ago
Vijimambo19 Mar
JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Matukio 10 yaliyotingisha Twitter 2015
Mwaka 2015, kama ilivyo miaka mingine yote iliyotangulia, uligubikwa na matukio mengi ambayo yaligeuka gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii, hasa Twitter na kutengenezewa hashtags (#) zilizopata wafuasi wengi zaidi.
Yafuatayo ni matukio 10 yaliyotingisha zaidi na kufuatiliwa na watu wengi kwenye Mtandao wa Twitter, kuanzia Januari mpaka Desemba.
1. SHAMBULIO LA CHARLIE HEBDO, UFARANSA
Mapema Januari, mwaka huu, watu wanaodhaniwa kuwa ni magaidi wenye msimamo mkali, walivamia ofisi za Gazeti...
11 years ago
MichuziUHURU KENYATA AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI JIJINI ARUSHA,ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Vijimambo17 Jan
Matukio Picha Hafla ya Wanahabari na Kampuni ya Afrika Internet Holding
![Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0016.jpg)
![Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0039.jpg)
![Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto), Meneja Mwendeshaji wa Mo Blog, Mr. Zainul M. na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Mahusiano Kaymu.com, Angaza Nkurlu wakibadilishana uzoefu katika hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0036.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
Matukio ya picha hafla ya wanahabari na kampuni ya Afrika Internet Group
![Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0016.jpg)
Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Group mwishoni mwa juma.
![Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0039.jpg)
Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Group.
![Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto), Meneja Mwendeshaji wa Mo Blog, Mr. Zainul M. na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Mahusiano Kaymu.com, Angaza Nkurlu wakibadilishana uzoefu katika hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_0036.jpg)
Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya...