Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wayakumbuka matukio makuu Afrika 2015?

Jipime uwezo wako wa kukumbuka matukio makuu Afrika mwaka 2015 kwa kujibu maswali haya mafupi kuhusu matukio 12 yaliyotawala vichwa vya habari mwaka huu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Matukio makuu maisha ya Oscar Pistorius

Bingwa wa Olympiki mbio za walemavu Oscar Pistorius amepatikana na kosa la mauaji baada ya mahakama ya rufaa Afrika Kusini kukubali rufaa ya upande wa mashtaka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Matukio 10 makuu baada ya mauaji Garissa

Imepita sasa juma moja tangu wanamgambo wa Al Shabaab kuua watu 148 huko Garissa,matukio 10 makuu yaliyofuatia tukio hilo.

 

5 years ago

Michuzi

MATUKIO YA SIKU YA WANAWAKE WA EAC ILIVYOAZIMISHWA MAKAO MAKUU YA EAC JIJINI ARUSHA


Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki EALA akitoa mada kwenye Kongamano hilo
Meza kuu wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa
Jaji Mstaafu wa mahakama ya Rufani na Mwenyekiti Mstaafu wa TAWLA Eusebia Munuo akitoa Mada na hotuba kwenye Kongamano hilo.
Wanawake wakifuatilia mada mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku yao inaotarajiwa kuazimishwa kesho kote ulimwenguni.
Tunafuatilia mada kwa makini
Mada zikifuatiliwa kwa umakini mkubwa kwenye Kongamano hilo la maadhimisho ya siku ya wanawake...

 

5 years ago

Michuzi

MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA MAKAO MAKUU YA UMOJA POSTA AFRIKA JIJINI ARUSHA.


Na:Vero Ignatus-Arusha.
Zaidi ya shilingi bilioni 38 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa lenye jumla ya  ghorofa 17 ambalo linajengwa kwa ubia Kati ya Umoja wa Post Afrika (PAPU) na serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya mawasiliano Nchini (TCRA).
Ni miezi sita sasa tangu kuzinduliwa shughuki za ujenzi kwa kuwekewa jiwe la msingi na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na mawasiliano mnamo januari 18 mwaka 2020 zoezi lililo ongozwa Mhandisi Isack Kamwelwe alie ambatana na viongozi...

 

10 years ago

Vijimambo

JENGO REFU NCHI UKANDA WA MAZIWA MAKUU NA LA NNE KWA UREFU AFRIKA

Hili ndilo jengo refu kuliko yote katika nchi zilizopo katika ukanda wa maziwa makuu katika bara la Afrika na pia ni la nne kwa urefu Afrika nzima. Jengo hili linamilikiwa na Mfukowa Pensheni wa PSPF

 

9 years ago

Global Publishers

Matukio 10 yaliyotingisha Twitter 2015

Mwaka 2015, kama ilivyo miaka mingine yote iliyotangulia, uligubikwa na matukio mengi ambayo yaligeuka gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii, hasa Twitter na kutengenezewa hashtags (#) zilizopata wafuasi wengi zaidi.
Yafuatayo ni matukio 10 yaliyotingisha zaidi na kufuatiliwa na watu wengi kwenye Mtandao wa Twitter, kuanzia Januari mpaka Desemba.
1. SHAMBULIO LA CHARLIE HEBDO, UFARANSA
Mapema Januari, mwaka huu, watu wanaodhaniwa kuwa ni magaidi wenye msimamo mkali, walivamia ofisi za Gazeti...

 

11 years ago

Michuzi

UHURU KENYATA AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI JIJINI ARUSHA,ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI

Pichani ni Rais wa Kenya ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mmashariki,Uhuru Kenyata akiwa anapanda mti nje ya jengo la ofisi ya makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) mapema leo jijini Arusha wakati alipokuwa na ziara ya sikumbili  ya kutembelea makao makuu ya jumuiya hiyo. Pichani ni  Spika wa bunge la Jmuiya ya Afrika Mashariki,Magrethi Ziwa  akiwa na  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika...

 

10 years ago

Vijimambo

Matukio Picha Hafla ya Wanahabari na Kampuni ya Afrika Internet Holding

Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Holding. Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Holding.Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding. Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto), Meneja Mwendeshaji wa Mo Blog, Mr. Zainul M. na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Mahusiano Kaymu.com, Angaza Nkurlu wakibadilishana uzoefu katika hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding. Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio ya picha hafla ya wanahabari na kampuni ya Afrika Internet Group

Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Holding.

Meneja wa Kampuni ya Lamudi nchini Tanzania, Godlove Nyagawa akizungumza na wageni waalikwa wanahabari na wadau wengine wa kampuni hiyo kwenye hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na Afrika Internet Group mwishoni mwa juma.

Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.

Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya kufahamiana na kubadilishana uzoefu na wanahabari iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Group.

Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya Kaymu.com nchini Tanzania, Erfam Mosgani (kushoto), Meneja Mwendeshaji wa Mo Blog, Mr. Zainul M. na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Mahusiano Kaymu.com, Angaza Nkurlu wakibadilishana uzoefu katika hafla ya kufahamiana iliyoandaliwa na kampuni ya Afrika Internet Holding.

Kutoka kushoto ni Meneja wa Kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani