Wazawa Mwanza wahimizwa kusaidia wilaya
WAFANYABIASHARA wazawa wametakiwa kuwekeza kwenye wilaya zao ili kuweza kuzisaidia shule za msingi zinazowazunguka ili kupunguza changamoto mbalimbali zinazokabili shule hizo. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Ofisa Elimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Derefa: Uchumi umekuwa wa kusaidia wageni badala ya wazawa
10 years ago
Dewji Blog19 May
Wanawake wahimizwa kusaidia makundi yenye mahitaji maalumu
Mwanyekiti wa Umoja wa Wanawake watumishi kanisa la Pentekoste (UWW) mjini Singida, Lessi Jared (kushoto) akimkabidhi vifaa tiba Kaimu mganga mfawidhi hospital ya mkoa ya mjini Singida, Dk.Daniel Tarimo.Vifaa tiba hivyo vingi vikiwa kwa matumizi ya chumba cha upasuaji imedaiwa kuwa gharama yake ni mamilioni ya shilingi, vimetolewa na shirika lisilo la kiserikali la waumini wanawake kanisa Pentekoste nchini Denmark-Heart to Heart.
Mganga Kaimu mganga mfawidhi hospitali ya mkoa mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QLC68Ckdguw/XucSut7j0dI/AAAAAAALt2s/6l7E42lFw6IvH24eUcSEXeXg4Jo1kMFVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_085813_5.jpg)
WAZAWA WAASWA KUONDOA HOFU YA KUCHANGIA MAENDELEO YA WILAYA YA IRAMBA MKOANI SINGIDA
Wito huo umetolewa juzi na mkuu wa wilaya hiyo, Emmanuel Luhahula, wakati akitoa shukrani na pongezi kwa wizara ya maji kutoa msaada wa vifaa vya kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona. Msaada huo...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Mwanza wahimizwa uelewa wa sheria
WANANCHI jijini Mwanza hawana uelewa kuhusiana na utaratibu wa kuomba kufuta kesi baada ya siku 60 za uchunguzi iwapo hakuna dalili za kupatikana kwa ushahidi. Hayo yalibainishwa jana na Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Mkoa wa Mwanza, Amri Flugence wakati wa mahojiano na waandishi wa habari juu ya uelewa wa msaada wa kisheria kwa jamii.
11 years ago
Mwananchi06 May
Jamii yatakiwa kusaidia watoto wa kike Mwanza
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA SARUJI MIFUKO 50 KUSAIDIA KUANZA UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU WA UVCCM WILAYA YA IKUNGI
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA ACHANGIA MILIONI MOJA KUSAIDIA KUUNDA UMOJA WA MSASANI JOGGING CLUB
10 years ago
Habarileo19 Dec
Mwanza yasambaza mbegu za pamba kila wilaya
UMLA ya tani 1,295.65 za mbegu za pamba zimesambazwa kwa wakulima wa pamba kwa wilaya zote za mkoa wa Mwanza ikiwa ni sawa na asilimia 65.27 ya mgawo kutoka Bodi ya Pamba (TCB).
11 years ago
Michuzi16 Jun
MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA RAI KWA JAMII YA MAKETE KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WAISHIO KWENYE MAZINGIRA HATARISHI