Mwanza yasambaza mbegu za pamba kila wilaya
UMLA ya tani 1,295.65 za mbegu za pamba zimesambazwa kwa wakulima wa pamba kwa wilaya zote za mkoa wa Mwanza ikiwa ni sawa na asilimia 65.27 ya mgawo kutoka Bodi ya Pamba (TCB).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mbegu za pamba zawaliza madiwani
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wakulima wa pamba Mara wagomea mbegu za manyoya
WAKULIMA wa pamba wa Mara wameiomba Bodi ya Pamba kuwasambazia mbegu zisizo na manyoya kwa sababu ndizo zinazoota kwa urahisi na kwa wakati muafaka katika maeneo yao.
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Bodi ya pamba yatakiwa kupeleka mbegu mbadala
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2351-2048x1365.jpg)
TARI UKIRIGURU YAGUNDUA AINA 10 ZA MBEGU BORA ZA PAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-N2Jl4z3JkXc/XqsfLtNmqBI/AAAAAAALot4/oDvwomBLQI8m0nwtQ5dSlSoVkFR3D8lCQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2351-2048x1365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akipata maelezo ya aina za mbegu bora ya pamba zilizogunduliwa na Kituo cha TARI Ukiriguru mkoa wa Mwanza leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2325.jpg)
Katibu Mkuu Wizara Kilimo Bw.Gerald Kusaya (katikati) akiongea na watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Kilimo MATI Ukiriguru alipofanya ziara ya kukagua utendaji kazi wa chuo hicho leo wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2327.jpg)
Watumishi wa chuo cha Kilimo MATI Ukiriguru wilaya ya Misungwi wakimsikiliza Katibu Mkuu ( hayupo pichani)...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Q0r5lLLei6U/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
RC Mwanza azindua msimu wa ununuzi wa pamba 2014/15
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo.
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo, hivi karibuni amezindua rasmi msimu wa ununuzi wa pamba wa 2014/15 katika kijiji cha Isole Wilayani Sengerema.
Wadau wa msingi wa zao la pamba ambao ni pamoja na wanunuzi wa Pamba kupitia Chama cha Wafanyabiashara wa Pamba Tanzania (TCA), Wakulima kupitia Chama cha Wakulima wa Pamba Tanzania (TACOGA) Serikali kupitia Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Bodi ya Pamba pamoja na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G-YO7jzB8SM/U4s_Msl9N6I/AAAAAAAFm_8/GOdoHhx3B9Q/s72-c/tp1.jpg)
kutoka maktaba: Kikosi cha pamba FC "TP LINDANDA" ya mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-G-YO7jzB8SM/U4s_Msl9N6I/AAAAAAAFm_8/GOdoHhx3B9Q/s1600/tp1.jpg)
9 years ago
StarTV19 Aug
Vurugu za tawala kanisa la Baba God Pamba Mwanza
Mtaa wa Pamba jijini Mwanza umekumbwa na hali ya vurugu baada ya waumini wa kanisa la Trustees of Throne of Glory Ministries kuhamishwa kwa nguvu kutoka katika jengo walilokuwa wakilitumia kwa shughuli za ibada.
Waumini wa kanisa hilo linalojulikana kama kanisa La Baba God wamehamishwa kutokana na kuisha kwa mkataba baina yao na mmiliki wa jengo hilo.
Kumalizika kwa mkataba wa kutumia jengo hilo kwa shughuli za ibada kunawalazimu waumini wa kanisa la Trustees of throne of Glory ministries...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XqAdMr4VwhI/Ve8q48iyH3I/AAAAAAAA5VM/_QNXhDu0uxw/s72-c/TBL%2B6.jpg)
UMEME WA PUMBA ZA MCHELE, MASHUDU YA PAMBA WATUMIKA KUENDESHEA MITAMBO YA TBL MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XqAdMr4VwhI/Ve8q48iyH3I/AAAAAAAA5VM/_QNXhDu0uxw/s640/TBL%2B6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CfPAkjJIMhA/Ve8q4wGJfuI/AAAAAAAA5VA/dhoFTTxarV4/s640/TBL%2B8.jpg)